Jamani Wana CDM ni wagumu kuelewa kuliko ata wale wanaccm walioko kule lindi na mtwara wasiojua kusoma wala kuandika na ndio maana hamtaweza kuchuka nchi hii kamwe labda waTz wote wafe wabakie wachaga ambao ni wakenya we umeambiwa taja mwanasiasa bora kijana 2012 unamtaja Lema nani kakwambia...
jamani wa2 wengine sijui wanawaza kwa ku2mia nn Lema awe rais wa Tz?????????????????????????? labda awe rais wa wewe na familia yako we na mkeo na watoto wako mshumbusi
Weee mdogo wangu kombesana unadanganyika lema ni mfanyabishara na mwenzako ni mchaga yule yuko kimaslahi nakushanga unamshabikia unapotea hakuna bora jiwe kuliko lema
Hakuna m2 anaitwa Lema katika siasa za arusha mnajisumbua bure na cd zake utadhani alizaliwa awe kiongozi tena kwa arusha asahau ata ubalozi wa nyumba2 hafai kuwa kiongoz muhuni,kibaka,jambaz,mlevi anaedanganya kaokoka c bora ata 2ongozwe na jiwe kuliko lema
Lema ni mpu-uzi kumbe inamuuma kupoteza ubunge kama alijua anakula mkate wenye blueband kwann achezee kwny mchanga uwanahakati bongooo wanaharakai wako us na ulaya anakunywa viroba vyaungaleoo uje kujiita mwanaharakati kaa kimya fanya kaz ya chama chako arusha ilikuwepo b4 u na itaendela kuwepo...
sasa wewe umeambiwa nani mbunge bora kuliko wote unamtaja muhuni,kibaka,jambazi lema alioa dada ako nn emb kua na akili ww taja mbunge co majina ya wahuni c bora ata useme wewe sasa.....
Ndugu wana JF na waTz kwa ujumla heshma kwenu kwanza.Hatimaye ule muda 2liokua 2nausubiria kwa hamu ndo huooooooo unayoyoma kwa taarifa nlizozipata kwa ndg ye2 Zitto kabwe mpambanaji imebakia sahihi4 tuuu pinda apinduliwe kwny uwaziri ukuu wake wa kimagambana awe mbunge wa kawaida.
source.mm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.