Hakika wanaJF; sijawahi kuona mtu mpu.........vu kama Werema. Kwanza, hafahamu kuwa pale alikuwa anaongea kama mwanasheria mkuu wa serikali na kuwa Hoja alizotoa Mh. Lissu alitoa kwa niaba ya Kambi Rasmi ya Upinzani; hata kama yeye anamchango mkubwa katika kuuandaa hoja hizo. Sasa, Werema...
By the way, wanaJF wenzangu: Hivi inawezekanaje Rais ambaye ni M/Kiti wa CCM taifa anavumilia haya?? Tutaendesha nchi kwa matusi kweli?? Mwigulu huyu huyu alitukana katika kampeni za Igunga; Kule Arumeru nako matusi yaliporomoshwa na "Profesa" wa Matusi (Lusinde) ??!!?? n.k. na uongozi wa juu...
Kwanzakabisa, nahisi mtoa Mada ni mmoja wa waathirika wa moja kwa moja wa hoja zaTUNDU LISSU (TL). Kama yeye si Jaji, basi ni mwanasheria mchovu; INGAWA KWAKWELI AMENISIKITISHA SANA kwa kuleta Uzi huu. Uzi umejaa madhaifu mengi. Sasanielewe kwa ufasaha wewe "ZUZU" TEROBURU.
Ndg.TEROBURU:-...
Cheze Lissu weeeeeeeeye?????!! Hivi Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Wenyeviti, Spika na Naibu Spika hawazijui kanuni za Bunge wanaloliongoza?? Viva Lissu, "Baeleze" "Baelezeeee" hawa wavivu wa kuperuuuzi kanuni. FREDOM IS COMING SOON. Keep the Star Shining brother!! We are behind you!!:flypig:
Kwa kweli nimesikitishwa na taarifa ya polisi juu ya aliyetuhumiwa kumtesa Dr. Ulimboka. Tafakuri yangu iko namna hii kimaswali:-
1. Hivi mtu ukikodiwa kujeruhi au kuua mtu, una haja gani ya kumuuliza juu ya nani aliyenyuma ya mgomo wenu (i.e. wa Madaktari? - Do you have that time sincerely?)...
Bandungu zangu wanaJF.
Nimekuwa nikiwaza kila siku na kwa kweli kwa miaka nenda miaka rudi; maana naona tutakako kwenda hakuendeki. Na kimsingi, nashawishika kuwa tutabaki kupiga "Marktime" tu kimaendeleo. Achana na uwezo wetu na raslimali tulizo nazo ambazo kimsingi "Viongozi" wetu (Wanasiasa)...
Ameyataka mwenyewe wakuu wa JF. Aliingia kwa mkwara na akatujaza matumaini makubwa bali yasitekelezeka. Akawapeleka "vijipapa" mahakamani ili kutuzuga tu (Imagine Farijala et al.). Baada ya muda mfupi wakatuambia Mafisadi hawakamatiki na endapo utawagusa, basi nchi haitatawalika. Huyo ndiye Rais...
Habari zenu Wadau - JF.
Hebu naomba kwa aliyeelewa au kutafakari na kutafakuri juu ya wimbo uliopigwa wakati Dr. John Pombe Magufuli wa Chama Cha Magamba alipokuwa akihutubia wenzake waliojumuika katika viwanja vya CHADEMA Square (Zamani Jangwani) siku ya Jumamosi.
Baadhi ya maneno yalikuwa...
Nadhani hawawezi kutangaza baraza hilo leo maana kesho ni Mei Mosi; hivyo nafikiri watafanya hivyo baada ya sherehe hiyo au siku ya J'5. Ila tu chakusikitisha na chakujiuliza wadau wangu ndani ya CCM, wapo wabunge wangapi wanaofaa kuziongoza wizara na serikali yetu kwa ujumla?? Sura zilezile...
Ni kweli kwamba hata mimi nilishangazwa sana na Hapo kwenye rangi nyekundu. Kwangu mie niliipa tafsiri tatu; Moja ni kuwa hakuamini kuwa Jaji angelitolea kesi yake maamuzi hayo, Pili, Ni kuwa Machozi ilikuwa ni ishara ya furaha ya ushujaa na uadilifu wake lakini tafsiri ya tatu; ni kuwa...
Threads zingine zinaboa. Acheni "Ushostitooooooooooo wa Siasa za kwenye taarabu" Think critically for the wellbeing of the nation and its revolutionary people wewe *************:-*
Hadi kielewekeeeeeeeeeeeee!! Operation "Sangara" itaanza lini Kamandaaaa??? Singida, Manyara, Kigoma, Mara na Moshi kwenye element zozote za uongozi wa CCM ziondolewe by 2015. Peeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeople's .................... Inawezekana bila shaka makamandaaaaaaaaaaaaaaa. In God we trust!!!
Lissu ni kiboko yaoooooooooo. Wamuulize Jaji Werema watajua kali yake. Matusi na dharau za Werema, Sitta, Capt. Komba na Ole Sendeka yaliishia kuzimu. Mungu amlinde Lissu na watanzania kwa ujumla. Kikwete alikiri, "Ni aheri Slaa ashinde Urais kuliko Lissu kushinda Ubunge"..... Ikungi 2010. Je...
Kwa kweli ukiyasikiliza matusi hayo kupitia "youtube" iliyopostiwa wiki iliyopita (kwa dk. 16), utasikitika mno. Laiti Uongozi mzima wa CCM ungelikuwa unajali maslahi na maadili ya watanzania, ungemwajibisha Lusinde. Nilisikitika sana niliposikiliza matusi yakimtoka kama MC wa sherehe ya kitchen...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.