Kaka umejitahidi sana speach yako ya ukweli,ndo siasa ukikosa unajipanga kwa uchaguzi mwingine,jiandae mapema 2015 karibu sana kwa mwenye nia ya kuingia mjengoni.
Kweli kutangaza nia sio mbaya ila unaonekana mwanasiasa muoga ambaochadema hatuwataki,mpakaleohujafungua hata tawi moja la chadema monduli halafu unataka ubunge kupitia chadema siasa sio rahisi kama unavyofikiria ,jimbo la monduli linahitaji mtu kamanda wa ukweli aliyejitolea kupambana na aina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.