Search results

  1. M

    Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    Prof naye anatuchanganya kweli!!!!! Hivi siku zote alikuwa wapi kusema hayo aliyosema leo, je hayo makubaliano yaliyokiukwa ni yapi na kwa nini asingesema mapema? Kitu gani kimemtokea? Sasa tuelewe kipi mara inasemekana tatizo lipo kwenye uongozi wa chama chake leo anasema tatizo ni ukawa. Kwa...
  2. M

    Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    Daaaaaa! Ametuacha katika sintofahamu kubwa maana wakati huu tunaoelekea kwenye mabadiliko makubwa ya kiuongozi katika taifa letu mchango wake ulihitajika sana akiwa katika nafasi ya mwenyekiti wa chama na si mwanachama wa kawaida.
  3. M

    Dr Slaa ana mchango mkubwa ushindi wa Chadema Arumeru.

    Huo ni mtazamo wa watu, lakini ukweli ni kwamba CHADEMA ni chama makini, chenye sera zinazotekelezeka na uongozi imara
  4. M

    Nape Nnauye: Tumehujumiwa..

    Nape ameamua kusema chama kimehujumiwa, baada ya kukosa maneno ya kusema. Hivi awali alipotamba kuwa chama chake tayari kimeshashinda katika uchaguzi huo hata kabla ya siku ya uchaguzi hakujua kama wananchi ndio wanaoamua nani awe mbunge wao?. Au alifikiri yeye ndo kila kitu.
  5. M

    Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

    Mh.Sitta anatakiwa akubali bila kushinikizwa kuwa chama chake hakina sera, wala asijaribu kumtaja mgombea kuwa ndiye sababu ya kushindwa kwa chama chake katika uchaguzi wa Arumeru
  6. M

    Hatua za haraka zinahitajika, Wafuatao wameihujumu CCM

    Hakuna hujuma wala mtoto wa hujuma, CCM ilishapoteza dira toka siku nyingi tu, hicho tulichokiona Arumeru ndo matokeo yenyewe, hata kama wangehutubia wananchi hadi wakawapigia magoti,na kulia sana bado wasingeshinda.
  7. M

    CHADEMA yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa (Zaidi ya kura 6,000)

    Nape alitamba kuwa chama chake kitashinda kwa kura nyingi kuliko kilizopata Igunga, yako wapi aliyosema kama siyo aibu tupu. Hongera CHADEMA kwa kuongeza idadi ya makamanda wa kupinga ufisadi
  8. M

    Nassari; ndoto zako za kumuoa MDEE hazibadilishi yeye kuwa Mbunge wa Kawe

    Lolote laweza tokea,kumbuka si kila mpango unaopanga lazima utimie
  9. M

    Kwa matokeo haya Arumeru, ni pigo kwa B.W. Mkapa

    hilo ni fundisho kwake kuwa, matusi na ubabe kamwe hauna matunda mazuri kwa mtu. Amevuna alichopanda
  10. M

    Hotuba ya MB-Nassari (CHADEMA) baada ya kutangazwa imeliza wengi

    Ushindi huo ni ishara njema ya tunakoelekea
Back
Top Bottom