Nyalandu alitumia tshs.62,000,000 kupata ujumbe wa NEC kutoka wilaya yake ya singida vijijini,Uongozi wake wote ikiwemo na Ubunge alipata kwa kutumia Rushwa kubwa, hivyo huyo jamaa ni mtoa Rushwa mzoefu.
Hairuhusiwi yeye kuendesha usafiri wako, hata kumpakia haitakiwi, inabidi yeye apande usafiri wake halafu muongozane kwenda kituoni. kama mtuhumiwa ina maana unaweza kumfanyia kitu chochote kibaya akiwa ndani ya usafiri wako ndio maana hairuhusiwi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.