Search results

  1. A

    Beno Malisa; kwa hili la NYALANDU unastahili PONGEZI.......

    Nyalandu alitumia tshs.62,000,000 kupata ujumbe wa NEC kutoka wilaya yake ya singida vijijini,Uongozi wake wote ikiwemo na Ubunge alipata kwa kutumia Rushwa kubwa, hivyo huyo jamaa ni mtoa Rushwa mzoefu.
  2. A

    Je hii ni sawa?

    Hairuhusiwi yeye kuendesha usafiri wako, hata kumpakia haitakiwi, inabidi yeye apande usafiri wake halafu muongozane kwenda kituoni. kama mtuhumiwa ina maana unaweza kumfanyia kitu chochote kibaya akiwa ndani ya usafiri wako ndio maana hairuhusiwi.
Back
Top Bottom