Maelezo ya aliyetangulia hapo juu yapo sahihi isipokuwa katika kipengele kimoja cha gharama za clearing agent. Hawa watu wanachaji sh laki 2 na elfu 50 hadi laki 3 kwa gari moja. Kuna gharama ambazo hazipo katika calculator ya TRA nazo ni;
1. Port Charges
2. Warfage
3. Shipping line
Ukiziweka...
Wadau habarini!
Nina kiwanja kimepimwa kipo Dodoma eneo linaitwa Swaswa mbele kidogo ya makazi ya Waziri Mkuu na jirani kabisa na inakopita barabara ya kuelekea Airport tarajiwa ya Msalato.
Kimepimwa mchakato wa hati unaendelea, kina ukubwa wa Mita za Mraba 600, bei ni milioni 6.
Karibuni kwa...
Dealer anapatikana JM Mall mtaa wa Samora ilipokuwa Shoprite zamani. Kuna dealer nadhani anaitwa Elite Computers, ila jipange na wallet yako. Anatoa guarantee ya kazi yake....
Kiukweli nilitegemea ndege aina ya Embraer kutoka Brazil na si Bombardier za Canada. Binafsi nimesafiri mara kadhaa kuwa kutumia Embraer na kwa nyakati tofauri Bombardier ambazo zaidi katika ukanda wetu zinamilikiwa na mashirika ya ndege ya Zimbawe au Zambia nadhani, lakini Embraer ni best kwa...
Nina gari mbili;
1. Toyota Corolla Model AE110, engine 5A ya mwaka 1997 imetembea km 55,000 ni namba CAX. Bei yangu 7m bila kupungua iko bomba sana
2. Toyota Premio ya mwaka 2003 namba CPF imetembea km nadhani 75,000 bei ni 11m ila hii inapungua kidogo sana. kama bado hujapata na uko interested...
Mkuu tatizo siyo bandari ya kupitishia hizo gari au mizigo mengine bali ni kanuni ya ukokotoaji wa kodi. Ukipitia Mombasa sawa, kwani hiyo gari utaisajili mombasa na kuitumia huko huko?
Kwa mtazamo wangu na wa wengi tutafurahia serikali kutoa ada elekezi wa shule binafsi! mashaka yangu furaha hiyo itakuwa ni ya muda tu. Ili tuwe na furaha ya kudumu katika hili pamoja na la viwango vya elimu vinavyofanana bila kujali ni shule ya binafsi, ya dini, au serikali nashauri serikali...
Mwenyezi Mungu katuumba tofauti-tofauti ili kila mmoja apate wa kufanana naye. Hongera sana blessings. Itakuwa vyema sana na mwenza wako akafunguka hapa jamvini ili wale akina tomaso waweze kuamini kwamba mmekutana papa hapa. Maisha mema na yenye furaha!
Watakuwa wameangalia na kichwa, maana bila kichwa sasa huyo bin adamu wa aina gani asiye kichwa jamanii?? Japo nakubali kwamba utafiti huu haukuwa huru na haki lkn Hongereni mama, dada, wake, n.k. zetu wa uzuri
Jamani jamani, hiki ni nini tena Tanzania?? Poleni sana watanzania wenzangu huu ni msiba wa Taifa! Hizi picha chache ziliwekwa hazifai kuangalia jamani zinahuzunisa sana, dah!!
Ni suala la maamuzi jinsi utavyoiweka mindset yako. INAWEZEKANA sana japo wadada wengi huichukulia hiyo kwamba wamedharaulika! Akifikiria hivyo atakuchukia milele!
Nimejikuta nawaza kwa sauti japo sikutaka kuchangia ila wacha niulize tu kisha nishauri!
Kwani mama wa mwanao ameolewa? Kama jibu ni hapana, na unadhani ana mazingira bora ya kumlea mwanaye mrudishe kwa mama yake uwe unatafuta muda hata mara 2 hadi 4 kwa mwaka unaenda na kukaa na mwanao umjenge...
Ngumu ku-comment maana ana ujauzito wa miezi 2 halafu unadai ni wa kwako, sijui uhakika unaupata wapi wa hili ikiwa nesi mwenyewe alianza kukusaliti kitambo hadi unamfumania....,! Kumbuka za mwizi ni ngapi?? Usidhani kaanza leo huyo. Siajabu huyo uliyemkuta naye ndiye mchumba kwako huwa anasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.