Huyo Kova kwanza akili yake sijui kama iko sawa, naye ni wa kupeleka Milembe kwanza akachekiwe.
Pili hata yeye nadhani ni jambazi sugu kwa maana anaona kila kitu kwake ni sawa. Ila siku moja tu Mungu atawaumbua tu
mateso sio hapa duniani malipo ni Mbinguni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.