Napata shaka na wewe,ofisi zinajulikana zilipo kwanini unaomba taarifa zao binafsi kwanini msikutane hapo? Bila shaka wewe ni kishoka unataka kunufaika na sintofahamu iliyopo.
Wazee na vijana wenye nia ya kusaidiwa na huyu kuweni makini jamaa anaonekana ni tapeli-Ushauri wa bure
Kwanini PSPF sababu ni moja tu kuna mifuko haina hoja katika ushindani hivyo wanatumia kila namna kuuchafua mfuko wa PSPFmojawapo ni habari za kizushi hi vyema tukashindana kwa hoja..aliyeanzisha thread hii hajatuma kile nilichoomba toka majuzi..na yeye no mzushi??sijajua bado namsubiria..
Le mutuz acha ushabiki do simple math angalia formula za pensheni kwenye hii mifuko then urudi hapa jukwaani..usitangulize ushabiki try to base on facts..
PSPF ndio mfuko bora katika nyanja kuu tatu...mafao bora likiwamo la uzazi,fao la kustaafu ni bora zaidi kuliko mfuko mwingine wowote kutokana na formula yetu..tumesambaa nchi nzima..ni rahisi kufikika mikopo ya viwanja na fedha taslimu...uliza waliokutangulia watakupa majibu maZuri
Van Medy PSPF inaongoza kuwa na vitambulisho digitized kuliko mifuko yoyote IDs are of current state of art na quality yake ni bora na hali ya juu tuongee ukweli ningependa tuzungumzie ubora wa mifuko na mafao yanayotolewa na mifuko hii..ili tuwasaidie waajira wapya watambue mfuko gani ni bora...
Makiara mfuko wa pensheni PSPF umeanzishwa mwaka 1999 kwa sheria ya bunge no 2 kwa ajili ya watumishi wa umma..kutokana na mabadiliko ya sheria mwaka 2008 iliyounda SSRA kila mtumishi ana haki ya kuchagua mfuko anaoona unafaa..vitambulisho vya wanachama vipo tayari na vimetumwa kwa mwajiri...
Karibuni mjiunge na mfuko wa pensheni PSPF inayotoa mafao bora kuliko mifuko mingine yoyote nchini na asilimia zaidi ya 98 ya wanachama wake ni walimu.
Kujiunga kwa simu ya mkononi nenda sehemu ya meseji andika neno PSPF kwenda namba 15357 halafu fuata maelekezo.Huduma hii ni kwa mitandao ya...
Je barabara isipotumika itaharibika kwa kiwango kile kile pale inapotumika kubeba mizigo iliyozidi uzito?
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.