....mkuu! maadam ndugu jamaa na marafiki "hawakuwamwagiaga michele" kusheherekia tukio la heri...hakuna ndoa hapo..na kuhusu hiyo sheria..naitazama kama sheria "nyingine toka ugenini" sawia na ile ya "toni blea"-ya sefu kumuoa chale, na jenifa kumuoa saada...
Kamundu
...plain and clear...it's a case of either white or black...!!! for the sake of keeping patriotisim of the motherland, denounce, u r foreign citizenship, and remain tanzanian or go to where u think u belong...no room for "popo"...!
.... mkuu.. kwanza nikiri kwa dhati ya nafsi yangu kuwa tanzania hatujawahi kuwa na raisi dhaifu kama kikwete...natafakari na kulifikiria tukio zima la kutekwa tabibu ulimboka..bila hiyana wala kupendelea, kushabikia au kuegemea upande wowote, nazidkuwa na shaka kuwa wengi wa wanaofuatilia tukio...
....sidhani kama iran wamewahi kuwa kama sisi( kama ulivyosema) hata mara moja...tanganyika kama nchi ilianzishwa mwaka 1884, na tanzania mwaka 1964...iran ni moja kati ya mataifa yenye historia ya miaka mingi, ikitajika kwenye biblia na ktk mafundisho ya kiislam.wakati wa vita baridi iran...
...wengi wamehukumu tayari...lkn hili jambo uchunguzi wake utawashangaza wengi...ulimboka yasemekana tayari alikuwa ktk uhasama na baadhi ya madatabibu wenzie, hapana shaka kutokana na mgomo ulimboka kwa nafasi yake tayari alishapata maadau wengine ambao ni jamaa za wagonjwa wanaokosa matibabu...
....with mr kikwete shortcomings, still, frm the article, i man smell what once,was described by mwl nyerere as "chuki dhidi ya uislamu (na uzanzibar)"....no avatar free youself frm hate...!
wapiganapo tembo nyasi ndizo zinazoumia na halikadhalika wanpofanya mapenzi.....mie na wenzangu wengi mitaani hatuna cha kushabikia, na tunawalaumu wote...! still, nawaombea wale ambao wapo jumla jumla upande wa matabibu, isije ikawatokea wakawa wanahitaji huduma ya matibabu ktk kipindi ambacho...
...hilo la kuuawa kwa wazanzibar kabla ya muafaka ulioleta serikali ya umoja wa kitaifa ....tuseme bila ya kutafuna maneno...ni matokeo ya "kujifanya wanajua kumbe wanaungua na jua"....mzee mwenye hekima na mwenye kuzijua siasa za zanzibar, nje ndani, aliwaambia mapema...mwaka 1995, mara tu...
....niko kwenye kifo cha horace kolimba....taarifa ya uchunguzi wa kitaalam iliyofanywa na wataalam, waliochaguliwa na familia ya marehemu haikusema lolote juu ya sumu...!
....tatizo ni hamadi rashid, mzanzibar, kuwa sehem ya uwekezeshaji huo wakati punde tu..! sisi watanganyika na wao wazanzibar, tunaingia kwenye transition period kwa lengo la "kugawana mbao"... hii itakuwa ni nyongeza ktk shida tutakazokabiliana nazo ktk kipindi hiko...
Tusikimbilie kutuhumu... kwenye mgomo wao wa mwisho, mi na wenzangu tulikuwa tukiwinda daktari yeyote, "tumnyonye macho" baada ya mshkaji(holder of top secret) wetu kukosa huduma muhimbili kwa siku nzima alikopelekwa kutokana na kuvunjika mguu kwenye ajali...sijui waliomfanyia hayo ulimboka...
...wapo kweli kama wageni..wakiishi kwa vibali maalum, na kama wageni wakitakiwa kuwa na kiasi fulani cha mitaji ili wakubalike kuwa ni wawekezeshaji wa kigeni kwa mujibu wa sheria (kitu ambacho kitawarudisha huko wenzenu wengi ),....wapo kweli lkn sheria ya umiliki ardhi inawabana, kitu ambacho...
....hilo litamaliza matata na sie wote, "waislamu na wakiristu", tutapata usingizi wetu..lkn pia..takwimu zilizoko kwenye kalenda iliyotolewa na ofisi ya waziri mkuu, inayoonyesha pamoja na mengineyo, idadi ya wakiristu ati ni 52%, waislamu32% na wa dini zingine16%, zitolewe maelezo na...
...somalia, pakistan, afghanistan, chad,sudan, ni nchi zenye waislam wengi lkn pia ufisadi si haba! ufisani hauna dini mkuu...wapo ktk imani zote! hapa kwetu bado nakumbuka " skandali la bi saada kitine, akisaidiwa na kina ustaadhi walid kabouru & co.....!
....sheikh ponda, na wengine wote wa aina yake, wanaojiona ni wateule wa kuwaongoza "kondoo" wa kiislam, pamoja na bakwata na taasisi zingine zote za aina hiyo za kiislam hawajawahi na hawatawahi kuwaunganisha waislam wa nchi hii kuwa kitu kimoja kwa mtindo wa kuwatenganisha waislam haohao ktk...
...comrade...salute! kwanza, anatufundisha "hayati" shaaban roberts..."mbwa wa msasi mkali ni wakali kama msasi mwenyewe"...huyu (mwinyi), alikuwa ni makamu wa mwalimu...na mara baada ya kuteuliwa na mkutano mkuu wa ccm kuwa mgombea pekee wa uraisi, mwinyi akionyesha busara na hekima ambayo kwa...
.....na kiwe kitu cha heri kitakachoendeleza ufanisi wa kiutendaji, bila kuathiri mshikamano ndani ya safu za uongozi wa juu wa mov't...bado nina kumbukumbu ya "kimzozo cha naibu kiongozi wa upinzani, siku zile "alipoondolewa" wadhifa wake huo...allah bless our mov't!
jk ni raisi dhaifu kutokea ktk jamhuri ya muungano...lkn kutuletea taarifa ati kuna "mzungu" aliwahi kuandika kuwa raisi wetu ni loughing stock ya ulimwengu...that was too much frm mzungu...haijatokea na wala haitatokea tanzania yetu inayopata raisi wake kwa uchaguzi (mind u, chaguzi zetu zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.