Search results

  1. Mzee Mpili

    Naomba msaada wa ku-install windows kwenye toshiba portege M400

    Nilifanikiwa baada ya kuwa na driver ya BIOS katika flash kila niki install windows. Ahsante
  2. Mzee Mpili

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Man 3 Brugge 1
  3. Mzee Mpili

    Naomba msaada wa ku-install windows kwenye toshiba portege M400

    Naona wote mlichemka..sasa nimekuwa dr wa tatizo hili
  4. Mzee Mpili

    TBC yadanganya, hatua stahiki zichukuliwe

    Dawa ni ku-uninstall
  5. Mzee Mpili

    Naomba msaada wa ku-install windows kwenye toshiba portege M400

    Nina toshiba portege M400 inagoma kuinstall windows inaonesha ujumbe wa kutoonekana kwa windows install driver. Nikaweka windows katika hard disc yake kwa kutumia laptop nyingine windows ikakubali ila nikiiweka hard disc kwenye toshiba portege inagoma. Msaada wa kitaalamu please.
  6. Mzee Mpili

    Serikali kusitisha Ajira za Walimu ifikapo mwaka 2015

    Hiyo taarifa alisema waziri wa kilimo tena kwenye mahafali ya kidato cha nne
  7. Mzee Mpili

    Check no. imetoka tarehe 07/08/2014

    Inaitwa CHECK NUMBER. Asikupotoshe huyo.
  8. Mzee Mpili

    Call for Interview UDOM

    Nafasi ya administrator vipi kwa upande wa oral?
  9. Mzee Mpili

    Nafasi za Administrators-SUA

    simu tayari au bado?
  10. Mzee Mpili

    Nafasi za Administrators-SUA

    duh, hapo utata aisee. Mmoja katika kumi na moja. poa ni dua tu hapo.
  11. Mzee Mpili

    Nafasi za Administrators-SUA

    Jamani kuna ambaye keshapigiwa simu kwa usaili wa mahojiano(oral interview) kwa kada ya human resource baada ya usaili wa kuandika wa leo? Taarifa tafadhali....
  12. Mzee Mpili

    Nafasi za Administrators-SUA

    mtihani ulikuwaje wadau mliobahatika?
  13. Mzee Mpili

    Nafasi za Administrators-SUA

    ok, all the best.
  14. Mzee Mpili

    Ajira za walimu 2014

    nenda tamisemi na document zako zote. Ila hapo halmashauri waambie wakuandikie barua inayokutaka uwe na academic transcript ndipo wakupokee. Hiyo barua nenda nayo pia tamisemi. Utanipa majibu ndani ya saa chache ukishatekeleza hayo.
  15. Mzee Mpili

    Nafasi za Administrators-SUA

    Wadau chuo kikuu cha sokoine mbona nafasi za administrators hawaiti tangu tuombe mwaka jana? Kama kuna mwenye tetesi atujuze.
  16. Mzee Mpili

    PICHA: Rais akiangua kicheko kizito baada ya kuzindua Bunge Maalum la Katiba

    ilipokuwa nchi ya chama kimoja nawe hukuwa TIMAMU, baba yako hakuwa TIMAMU, mama yako hakuwa TIMAMU na ukoo wako haukuwa TIMAMU. think before you spell a word!
Back
Top Bottom