Yaan ata cdm wangemsimamisha nan ndugu magamba wasingeweza kuachia kabisa naomba kabla ujatoa thread jaribu kufikirisha halimashauri yako ya ubongo magamba wamenajis demokrasia.
Mkuu unapoteza muda na nguvu nyingi kubishana na magamba huyo gamba lake lipo kiunon had utumie shoka kulitoa ndiyo mwisho wake wa kufikir umeishia hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.