Nfkr shule ina mchango wake kwenye maisha ya mtu. Inaonekana alipendelezea zaidi madrasa kuliko shule ndo maana bado hajui la kuongea. Aende CUF then!!
No offence to anyone lakini wazenji wengi hawapendi shule at all. Sasa wanategemea endesha nchi bila shule? Na pili wengi wao ni wavivu wa kazi. Hata ukauliza watanzania wanaoishi UK watakwambia kwanza wanajibagua na wabara, hawaendi kw misiba ya watu, kazi hawafanyi etc. Kuna aliyekuja omba kaz...
Huyo ma(neno baya) anatakiwa akarisie mtihani wa la saba halafu aende sekondari both o and a levels. Then afaulu aende chuo then ndo aanza simama mbele za watu. Hivi hao walomchagua hawakujua kuwa hajasoma? I wonder maendeleo ya huko jimboni kwake yakoje!!
Hii njemba kumbe haina shule kabisa ndo maana ana mdomo mchafu kama mwanamke wa uswazi. Subiri 2015 mhishimiwa Lusinde. Lazima tukuwekee video yako kwanza wakati wa kampeni. Utaipata mpaka BBC umetukana mbele ya watoto. Jifunze adabu!!
Hii njema kumbe haina shule kabisa ndo maana ana mdomo mchafu kama mwanamke wa uswazi. Subiri 2015 mhishimiwa Lusinde. Lazima tukuwekee video yako kwanza wakati wa kampeni. Utaipata mpaka BBC umetukana mbele ya watoto. Jifunze adabu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.