Mimi kwa maoni yangu hawezi kubanwa kama ameiba kazi ya watu mana hajaipublisha kama scietific akaclaim ni utafiti wake. tatizo langu kubwa kwenye hii makala ni moja kutaka kuaminisha umma kama mifumo hii miwili ndo kigezo cha umasikin au utajiri, pili kushindwa kutoa concrete suggestions kwa...
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100. hata kurudi nchini na kuona hakuna kilichoendelewa tayari ni stress sana kwake. hii nikama mtu laikua napigania haki za watu akauawa then akafufuka akapewa story jinsi watu walivyomsaliti, nafikiri atatamani afe hapohapo na asikumbuke kitu.
Umeongea vizuri sana, ila hiyo haiwezekani kwa mind set and courage ya Mtanzania.
Ninachowashangaa nyie madr ni kimoja tu, kwanini unaanzisha kitu huwezi kukimaliza! hebu ona sasa ulimboka sijui Olimboka wa watu kaumizwa bure na rais wa mat ana kesi alafu wengine wamefukuzwa wengine...
hivi mwakiembe alifanya nini vile kufanyiwa vile? Unaweza kunikumbusha? ahaa aligoma kukubaliana na ufisadi na udhalimu. migomo sio mizuri kwakweli kwa taifa na kwa usalama wa mtu mmoja mmoja. nakubaliana na wewew mkuu.
kwako wewe uliyekuwa unajua kwa uhakika walichokifanya na kuwajua wote, sio jipya mana mnajua hatafanywa lolote huyo msangi. kama vile mwakyembe alivyoonyesha kila kitu kabla lakini serikali haikufanya lolote.........
kwahiyo mkurugenzi wa MOI Prof. Mseru alidanganya umma alivyohojiwa na gazeti la jamhuri! Sasa kama huyu mkurugenzi anaongea uongo je hao staff wake si ndo watakua balaa. maadili hakuna, PM muongo, Presdaa muongo wakurugenzi waongo na .....waongo kila mtu muongo sasa mbona mi nakua :A S...
Real Watanzania wako naye! Real! What have been done by Tanzanian after Ulimboka scene? C'on guys lets be serious and stop talking and start acting now!!!!
Mwakyembe alisema yote na vielelezo kibao na mataarifa mengi kila kona. na pia ni magamba lakini bado walimfanyia tuliyoyaona. Itakuwa CDM, drs au sijui nani>>>>!!!!! hii serikali inaelekea kusiko na hizi ndo dalili hivyo stay tuned
yani ni kweli jamaa hajamaliza la saba alipiga hadi la nne akapewa mikoba kisha akaanza kuwafanyia mazingaombe vigogo wa magamaba ndo akapata shavu. yaaani nilipita jimboni mwake nikiwa nafanya risechi moja nikamuuliza mwalimu mmoja kuhusu ishu za elimu na jinsi gvt structure inavyojicomiti, duh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.