Wana Jamii Forum, mimi nakerwa sana na haka katabia ka kudiscuss personal issues au personality ya mtu. Let's be fair - mimi sidhani kama madhumuni ya kuanzisha hii forum yalikuwa ni hayo - Let's educate people and not to destroy - kila mtu ana mapungufu yake. Hakuna binadamu aliye kamili -...
Ngeleja being Ngeleja is a human being despite his ministerial post. Huo uwaziri kaupata juzi basi nanga zinapaa lakini hatambui mpanda ngazi hushuka na kama hatashuka basi inabidi tupande juu tukamshushe. Pole sana Mnaku. Haya yote ni matanuzi ya duniani - but we are all equal in the eyes of...
Poleni familia ya MC. Kufa ni wajibu. Yote yaliyotokea yapo kwenye Biblia - Hatujui saa wala siku ...... nadhani MC au huyo mama angejua saa na siku si ajabu siku hiyo asingekwenda. rest in peace.
Hii kitu haina millage bwana .... huwezi kujua imetumika kiasi gani sometimes ni use or reconditioned. hata nyie ---- ni balaa tupu ingekuwa ni mfutio wengine ungekuta vimeisha ....
Rwabugiri - kwa kweli umenigusa - 2010 moto utawaka naomba wanajamii tuendeleze moto huu - tuchochee mpaka basi. Hongera sana Cardinal Pengo - Endea kusimamia haki ya wanyonge. Tuko nyuma yako Baba, kwa kila hali - kwa maombi, mawazo nkm. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni !!!!!
Pdidy, Thank you for the good message. There are a lot of success and failure stories to be shared in regards to marriage. lakini mimi mwenyewe naona kama sisi wanawake ndani ya ndoa - we are like slaves. Haki ya mungu hata hiyo busu unaweza kukaa hata mwaka hujaipata. Acha busu hata kukuita...
NEXT LEVEL, nakubaliana na wewe asilimia 100. Pia napenda kuwaambia wananchi wa Busaga kwamba Wakati wa CCM umekwisha na kama tulikuwa watoto tunadanganywa kwa pipi sasa tumekua - tena tumekua sana KIAKILI, KIMWILI na KIROHO ? umeme siyo zawadi ni haki ya kila mtanzania pindi fungu la fedha...
Wajameni - bado hatujalia kilio? ile document hii hapa. Please search the Anti-Corruption resource Centre - U4 Publications - halafu angali document titled 'DOES AID WORK? REFLECTIONS ON A NATURAL RESOURCES PROGRAMME IN TANZANIA - HALAFU WANAJAMII MTOE MAWAZO YENU - hapo hakuna kabila - ni...
Ndugu zangu, tuache malumbano yasiyokuwa na maana. mafisadi ni wengi na sio wahindi tu. Kitu cha kuchangaza je serikali yetu iko wapi? iko likizo? hakuna wa kumkemea mwingine. Kila kitu kinakwenda mzobe mzobe. Je waliokula mabilioni ya wafadhili -Ministry of Natural Resources nao pia ni...
Dear Friends,
I kew Dr. Alan Rodgers since 1992. Ni mtu muhimu sana kwa watanzania. He fought for our development especially in the protection of our forests and natural biodiversity. He will be laid to rest tommorrow afternoon at the Langata Cemetery, close to the Kenya Wildlife Services...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.