Tatizo jamaa nae kilaza kama alivyo dhaifu, jimboni haonekani wala bungeni hasemi chochote, ndio tatizo la wakwere kuchagua chagua ovyo ovyo, wakati ni maskin wa kutupwa
Bora uchague maskini mwenzako ambae atajali shida zako. Mbona hata Arumeru tulimpiga tafu Nasari kwani till now tangu awe mbunge umeshackia amepokea rushwa?
Huyo ****** kayataka aliwahidi cjui mahakama ya kadhi! Wakampigia kura kwa mbwebwe hatimaye sasa wanamgekuia maana mahakama ya kadhi ilikua ni mtaji wa kura!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.