Dada kaa chini tulia mwachie Mungu atakupa wa aina yako. Kiwaza kumzuru ni wewe unafunga neema yako ya kupata aliye bora zaidi.
Leo wewe unawaza kumtendea ubaya huyo hebu jiulize wanaume wangapi wameumizwa na wanawake na wakaacha mambo yaende.
Tafuta ndugu mnayeaminiana alafu hamisha umiliki wote wa Mali unazoona hazifai kugawana kwenda kwa huyo na tarehe za kuamisha umiriki unazirudisha nyuma sana chini ya wakili mjanja ambaye utamtoa pesa. Mahakamani unasema zile mali hazikuwa zako ila uliaminiwa na mwenye mali na kuzimiliki kama...
Wacha wewe. Kim nimemfahamu akiwa bado young na mimi nikiwa mdogo kwake, walikuwa wanaishi kule Mlalakua karibu na flats za jeshi. Mama yake alikuwa mhaya na design mzuri wa nguo akiwa amesomea Marekani.
Kama sikosei Baba yake Kim aliwahi kuwa mkuu wa mkoa Dar.
Mkuu hii ya magari ya deraya na farasi wa moto niliwahi kuona kwenye ndoto gari la farasi wa moto likitoka mashariki angani na kuelekea magharibi nilikuwa bado mtoto wa miaka kama tisa hivi lakini mpaka leo nakumbuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.