hivi ktk ajira mliona mtu akiulizwa jina,au elimu na uwezo wake ndio vigezo!!
kama dini fulani ina wasomi wachache kwenye soko wekezeni zaidi ktk elim=suluhisho la mda mrefu
tatizo la watz tunapenda vitu vya haraka haraka na pia fanyeni sensa zenn misikitini,mahekaluni, matambikoni na...
Alafu ukijua kuna waislamu kadhaaaa,what next!!!!kama mtu anania ya kujua idadi ya waumini wake si afanye sensa za kidini .jamani tuacheni utegemezi kila kitu kufanyiwe du!!!
Mbona huzungumzii posho ya kuhudhuria mkutano,kilichowaleta watu pale ni posho,t-shirt na kanga-ndio maana akina mama walijjaaaa.chezea kanga weeeeeeeeeee
nyinyiem na ufisadi,cdm na nguvu ya umma
ni jambo la kushangaza sana kuwaona viongozi wa tanzania kujifanya wanajua kumbe hawana chochote wakiongozwa na kilaza jk.tumechoka mahubiri,watanzania hatutaki maneno,tunataka vitendo.....wenzetu wapo kimya ila vitendo vyao vinaonekana,if ccm is ran out of ideas & visions,kwa nini wasiige nchi...
yoyoyo!!!heshima kwenu wakuu,,,from New Delhi here na ninaunga mkono mfumo wa majimbo.LAKINI
1.kwa sababu chadema inaunga mkono serikali 3,basi ziundwe serikali ya Tanganyika,Zanzibar na Tanzania KWANZA.
2. cheo cha waziri mkuu kingebakia ili kusimamia serikali ya tanganyika yenye majimbo 8...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.