Polisi wanasheria yao, ukimdunda mtu ni lazma siku 99 zipite bila huyo mtu kudhurika ikiwepo kifo ndiyo mpigaji hatashtakiwa.
Lakn ikiwa ndani ya hicho kipindi cha kipigo, lazma mpigaji awekwe ndani ya mikono salama hadi serikali ijiridhishe kuwa umauti wa victim hauna uhusiano wowote na kifo.
Magafuli anaingi madarakani situation kama hii ilitokea, hatua aliyochukua ni pamoja na msako kwa wanaoficha sukari. Yeye anashindwa nn kuchukua hio hatua wakt akisubir hilo la bunge
Kwahiyo anasema hadharani hayo ili kuwatisha wenye viwanda ili wamwone au waongeze dau, kwa maana ya kwann asichukue hatua at first place ili wakilalamika yy ndiyo aje na haya majibu?
Hoarding ni sabotage kwny uchumi.
Nchi nyingi duniani swala hilo ni sawa na uhujumu uchumi.
Wanacho kifanya hao wenye viwanda ni kupunguza uzalishaji, ama ku'store mzigo ghalani au vyote ili kutengeneza artificial scarcity kwa ajili ya kupandisha bei.
Mawili, la kwanza tokeni hapo kwny dawati...
Kupanda kwa bei ya sukari, hii ni artificial price. Bei hii hupangwa na wazalizlshaji ili wapate faida kubwa kwa kuuza sukari chache. Wanacho fanya ni kupunguza uzalishaji kwa maksudi na kustock sukari chini ili kutengeneza ukosefu wa sukari usio wa kweli. Lengo ni faida iliopitiliza.
Serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.