ni kweli tumefiwa na dada yetu Hidaya Magembe, na msiba tulizika alhamis, hivyo basi siku za Kampeni zimetolewa chache sasa unategemea kwa hali hii utafanyaje? tunajua mzee bado anamajonzi lakini kwasababu eneo la wazi ni pamoja na eneo lililo mbele ya nyumba yake hakuna budi kutumika kwa...
Leo kamanda. wa police wa Dar es salaam Amevieleza vyombo vya habari kuwa alie mkamata ndie mtuhumiwa na alikuwa Kwenye ibada ya three 13/07 2012. hivyo sijui mchungaji kasema nn!, amesha pelekwa mahakamani hivyo hairuhusiwi kuhoji jambo lolote lililo mahakamani!
his ndo bongo bana!
source...
nimemsikia vizuri sana huyu mama akiihusisha chadema na tukio la Dr kupigwa, nilicho kinote hapa ni jinsi wabunge wa ccm wanavyoshabikia nakufurahishwa kupigwa vibaya na kuumizwa kwa Dr ulimboka Kwa kweli hili ni jambo ambalo sikutegemea kuliona kwa mbunge yeyote hasa ukizingatia anaonekana na...
mimi nimefurahia jinsi watu wanavyo piga simu kuchangia bila woga wote wanataka serkali yote ing'oke! na ktk cm zote 10 za mwanzo hakuna hata mmoja anae onekana kusaport ccm, duh watu wamebadilika.!
usitumie ushabiki, Hapa inadhihirisha jinsi serkali ya ccm inavyo jiendesha kwa kufuata hisia na matakwa ya chadema! Jk akiwa kama kiongozi anaejiamini ilipasa kusimamia analoliamini!
Mimi hii Tv inaniboa sana hasa wakati wa chaguzi, kazi yao kuonyesha vipindi maalumu vya kampeni za wagombea wa ccm tu! Hawaoni Itv nayo inapoteza mvuto kwa Jamii? Hii ni frusa nzuri ya uwekezaji katika Tv inayo wapa kitu wananchi wanacho kitaka!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.