Search results

  1. M

    CHADEMA wazindulia msibani kampeni uchaguzi Sinza C

    ni kweli tumefiwa na dada yetu Hidaya Magembe, na msiba tulizika alhamis, hivyo basi siku za Kampeni zimetolewa chache sasa unategemea kwa hali hii utafanyaje? tunajua mzee bado anamajonzi lakini kwasababu eneo la wazi ni pamoja na eneo lililo mbele ya nyumba yake hakuna budi kutumika kwa...
  2. M

    Yaliyojiri Bungeni: Jumamosi, 29 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    duh alimaliza akataka kuondoka , mara jamaa wamemzuia wanampa salaam kah!
  3. M

    Star Tv LIVE: Jicho letu ndani ya habari

    said kubenea anajitahidi sana kuwapa wananchi habari za uhakika, ila najiuliza anajihadhari vp juu ya yeye kufanyiwa uovu kama Dr.ulimboka?
  4. M

    Hatimaye afande Kova ajibu shutuma juu yake

    Leo kamanda. wa police wa Dar es salaam Amevieleza vyombo vya habari kuwa alie mkamata ndie mtuhumiwa na alikuwa Kwenye ibada ya three 13/07 2012. hivyo sijui mchungaji kasema nn!, amesha pelekwa mahakamani hivyo hairuhusiwi kuhoji jambo lolote lililo mahakamani! his ndo bongo bana! source...
  5. M

    Eng Stella Manyanya: CHADEMA Wanahusika na mgomo wa madaktari; amfananisha Ulimboka na Hitler

    nimemsikia vizuri sana huyu mama akiihusisha chadema na tukio la Dr kupigwa, nilicho kinote hapa ni jinsi wabunge wa ccm wanavyoshabikia nakufurahishwa kupigwa vibaya na kuumizwa kwa Dr ulimboka Kwa kweli hili ni jambo ambalo sikutegemea kuliona kwa mbunge yeyote hasa ukizingatia anaonekana na...
  6. M

    Ikulu yalijibu Gazeti la Dira ya Mtanzania: Yataka watoe majibu au wachukuliwe hatua...

    mmmmmh watadhubutu, hapo walimwambia dogo aachane na hiyo issue ya slaa coz wanaweza likoroga zaidi wakitaka evidence!
  7. M

    Siku za Mwisho Miti yote huteleza

    hii kama drama tungeitengenezea movie ingevutia sana.!
  8. M

    NEWS ALERT: Nape anahojiwa LIVE Channel Ten

    mimi nimefurahia jinsi watu wanavyo piga simu kuchangia bila woga wote wanataka serkali yote ing'oke! na ktk cm zote 10 za mwanzo hakuna hata mmoja anae onekana kusaport ccm, duh watu wamebadilika.!
  9. M

    CCM mwendo mdundo! CHADEMA yaanguka

    usitumie ushabiki, Hapa inadhihirisha jinsi serkali ya ccm inavyo jiendesha kwa kufuata hisia na matakwa ya chadema! Jk akiwa kama kiongozi anaejiamini ilipasa kusimamia analoliamini!
  10. M

    Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

    naanza kupata wasi wasi, naanza kuamini kuwa TANZANIA DAIMA lilisema ukweli!
  11. M

    Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

    jamani ndio anahitimisha kwa kuwatakia wajumbe wote safari njema. wabunge naona kimya hawapigi hata makofi...,!
  12. M

    Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

    haaaa... sasa hivi kaanza ngombe, dume, jike, mbuzi, kuku, bata. ...!
  13. M

    Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

    duh nilikwa na hamu ya kuona serkali mpya, looh nachoona pinda anachoongea chenga tupu...! duh bongo du kinaa!
  14. M

    Madiwani Kibao Monduli kuhamia Chadema kesho - Daily News

    gazeti la uhuru ni lilelile @ Leo limeandika, zitto kapata saini 69!! wakati wabunge karibia wote wamesaini!
  15. M

    Wachezaji wa CCM vs Chadema Arumeru, soma role zao, utaipenda sana

    Vp Lowasa? kazi yake ilikuwa kuchana mistari ya profesa J. ; Hapo vip., Hapo vip. Hapo vip...!
  16. M

    ITV na Radio One

    Mimi hii Tv inaniboa sana hasa wakati wa chaguzi, kazi yao kuonyesha vipindi maalumu vya kampeni za wagombea wa ccm tu! Hawaoni Itv nayo inapoteza mvuto kwa Jamii? Hii ni frusa nzuri ya uwekezaji katika Tv inayo wapa kitu wananchi wanacho kitaka!
Back
Top Bottom