Nyumba zipo tabata chang'ombe mbele kidogo zilipo kota za veta, km2 kutoka tabata-baracuda!!
**Nyumba hizi zipo katika kiwanja kimoja ambacho hakijapimwa bado ila kina umiliki halali.
**Gari linafika hadi nyumba zilipo.
**Kwa mawasiliano zaidi piga namba 0714593674 / 0717659655.
Karibuni!!!
Milango ya mazungumzo iwazi ndugu zangu! Bei tajwa isiwe kikwazo cha wewe kushindwa kuja zungumza biashara.
"..... Biashara isiyo na mazungumzo si biashara kwa Mtanzania."
Huenda bado anaorodhesha possible issues ambazo anahisi zimesababisha hilo tatizo lake...
Labda niulize swali muhimu, unatumia antivirus gani mkuu? Na je ipo updated? Kuna kirusi kinachohusishwa na file la rundll32 linalopatikana kwenye windows folder. Kirusi hicho husababisha errors za namna...
Toyota RAV 4 yauzwa. Wasifu wake ni kama ifuatavyo;
** Imetengenezwa mwaka 2004
** Imeingizwa nchini mwezi mei, 2012
** Ni "Automatic Transmission Gear"
** Ukubwa wa engine ni 1800cc na VVTi
** Ni ya milango mitano (5)
** Imetembea km 119,000
** AM/FM Radio na CD player
Bei 26,000,000 Tshs...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.