Nadhani bado wengi hatujaelewa mazingira ya kifo cha jembe letu kanumba!Mtu yeyote ule anaweza kukubwa na hali kama hii bila kutegemea.kinachomponza LULU ni Mazingira ya kifo lakini sidhani kama alienda kwa dhamira ya kuua.Tuiache mahakama itoe tamko.
wewe ndiye unahusika na mgomo huo wa madaktari.unadhani madaktari ni wajinga kama unavyofikiri! nenda Muhimbili ward ya wazazi ukaone kama angekuwa mama yako ndiye analazwa chini namna ile ungefurahi sana.punguza jaziba uiache akili yako ifanye kazi yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.