Search results

  1. M

    Hongera LULU umewakilisha mateso ya wanawake Duniani

    Nadhani bado wengi hatujaelewa mazingira ya kifo cha jembe letu kanumba!Mtu yeyote ule anaweza kukubwa na hali kama hii bila kutegemea.kinachomponza LULU ni Mazingira ya kifo lakini sidhani kama alienda kwa dhamira ya kuua.Tuiache mahakama itoe tamko.
  2. M

    Kwa matokeo haya Arumeru, ni pigo kwa B.W. Mkapa

    Nadhani kwa mwananchi mwelevu hatashangilia ushindi pekee bali ataongeza chachu kuiendeleza chadema kushinda kwa kujitokeza kuipigia kura miaka ijayo.
  3. M

    Kwa matokeo haya Arumeru, ni pigo kwa B.W. Mkapa

    wanajamii nilitaka kuiona tofauti ya kura za arumeru kati ya cdm na ccm.
  4. M

    CHADEMA yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa (Zaidi ya kura 6,000)

    wewe ndiye unahusika na mgomo huo wa madaktari.unadhani madaktari ni wajinga kama unavyofikiri! nenda Muhimbili ward ya wazazi ukaone kama angekuwa mama yako ndiye analazwa chini namna ile ungefurahi sana.punguza jaziba uiache akili yako ifanye kazi yake.
Back
Top Bottom