Je kuna order ya Mahkama kutengua uteuzi wa wale wabunge wengine wapya? Na je kuna order ya kufuta kiapo chao walichoapa mara baada ya kuteuliwa. Kama order hizo hazipo wabunge hao nane wa Zamani wataweza kurudi bungeni?
Kwa post yako inaonyesha hakuna Shaka yeyote ya usomi wake, Umesema Tabora Boys, Tambaza na UD ametumia jina la Elia William.. Tatizo lake ni kubadilisha jina. Je kuna kosa lolote mtu kubadilisha jina Kama taratibu zote za kisheria zimefuatwa?
Naona kesi hii ni tofauti sana na ya Bashite.
Hapo waulizwe wanaomanage hiyo website walipewa maagizo na Nani kuweka hizo info kuwa Taslima ni kaimu Mwenyekiti, na baadae nani kawatuma wabadilishe.
Wanasema Lipumba amejiuzulu katika tarehe aliyoandika barua, na Uwenyekiti wake ulikoma siku hiyo. Leo kusema kuwa alikuwa na mamlaka ya kuitisha Mkutano Mkuu ni kujichanganya, mamlaka hayo ametoa wapi?
Na Kama bado alikuwa na mamlaka hayo basi hoja ya Lipumba kuwa Mkutano Mkuu haukuwa halali...
Tume ya Utumishi ya Mahakama (kama unavyoiita tume ya ajira) ipo siku nyingi kabla hujazaliwa. Tume hiyo haikuanzishwa Kwa sababu ya Lissu, ipo kikatiba!
Barua imeandikwa na Maalim Seid Sharid Hamad, huyu ni Katibu Mkuu mpya wa CUF?
CUF wanasema barua ya msajili ni batili, je wanao uwezo huo wa kubatilisha hiyo barua? Kwanini wasimshtaki msajili hata kwa njia ya judicial review, wataendelea na malumbano mpaka lini?
CUF Seif wakienda mahkamani issues zitakazojadiliwa ni Kama Lipumba alijiuzulu au la, na mambo ya msingi yatakayokuwa kwenye hoja ni taratibu za kujiuzulu kwake na matakwa ya Katiba ya CUF kama yalifuatwa au la. Issue ya estoppel ni ngumu sana kuisimamia Kama Katiba yenyewe na taratibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.