Isome vizuri wewe hiyo sheria ya maadili maana ss tulisha isoma na kuielewa. Labda nikuulize swali; Je ni wakati gani kiongozi wa umma anatakiwa kutoa taarifa ya mapato na matumizi
Ni nchi ya kidikteta pekee ambayo haimsikilizi mtuhumiwa. Tuhuma sio kosa, ili liwe kosa ni lazima ithibitishwe kisheria La kama unataka tuishi kwa akili FYATU basi nadhani ata wewe leo usingekuwepo uraiani kwa tuhuma tu. Hakuna kiongozi asiye na tuhuma na kwa akili yako hao wote wasipewe nafasi...
Ngeleja umeonesha uvumilivu mkubwa na nidhamu ya juu kwa chama chako hadi kufika jana, Mungu akupe nguvu na afya njema katika safari uliyoikusudia moyoni mwako kwa watanzania
Nilishawai kusema ktk uzi mmojawapo uliokuwa unamzungumzi Ngeleja, kuwa mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Na haki ina sifa kuu tatu 1.Itolewe kwa mlengwa 2. Kwa wakati 3. Itolewe bila masharti. Ngeleja ni miongoni mwa Vijana ambao ni azina kubwa sana ya taifa, amelitendea haki taifa la...
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni hayo ni maneno ya watu wenye busara. Ngeleja ni miongoni mwa viongozi wachache vijana ambao wana legacy nzuri ktk utendaji kazi wao. Na km tukitamani kumpa kiongozi kijana kushika nchi basi Ngeleja ni first priority ndio wafuate wengine
Amejieleza vizuri sana ndugu Ngeleja katika hili swala la escrow, ni wazi kuwa issue hii ilichezwa kisiasa kwa lengo la kuwatoa watu kafara. Swala la kujiuliza hv kwa nn zitto akututajia majina ya muamala wa Stanbinc na wala hataki kuzungumza
Hatuendeshwi tena na mihemuko ya tuhuma za kutengenezwa ambazo zinekuwa na kusudi la kuwafumba macho watanzania wasione. Ngeleja ni kijana sahihi kwa wakati sahihi
Dunia imekuwa ikiwashuhudia wenye kashifa ndio wanashika dola umeshawai kufatiria maisha ya Rais Zuma au Clinton ? Mtu km hana kashfa huyo ni dormant ndio kusema hana impact yoyote
Tusisahau hata prof. Muhongo alisema vikaratasi vya ole sendeka ni vya maandazi mwisho ikawa pwaa! Ngeleja ana reasons behind na pia alijenga hoja kulingana na swali aliloulizwa
Jengeni hoja kwann Ngeleja asiwe maana halo juu kumeweka wazi Kuwa ktk kundi la vijana ngeleja ni tishio. Mbona mnatumia mihemko badala ya hoja. Mtake msitake hawa wanaomuelezea ngeleja kuhusu urais wana facts zinazo wagaidi ila mnaoponda mnatumia hisia tu . Sisi ndio vijana tukishindwa kujenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.