inaumaaaaa... inaumaaa... aaghhhh.... kweli yawezekana haya... na bado tunakenua meno tunasema wana nguvu maharamia... tuanaahirisha zoezi bungeni....inawezekan kuna laana kwenye akili zza watu fulani.. sio bure. kabisa....
Muda umefika serikali iongelee wazi kuhusu muungano, ni idara zipi za serikali zipo chini ya muungano na kila upande wa muungano unachangia kiasi gani, haya malalamishi yametuchosha, just call a spade a spade. ili watanzania wachambue waamue kama kweli huu muungano ni mzigo kwa ZNZ, basi...
Hivi babu yangu aliyepigana vita ya maji maji Mbona sijaona jina lake likitambuliwa Kwenye historia ya nchi hii au Hata inayosimuliwa na MS, au kwa vile babu yangu hakusoma,...? Hata yeye alimbeba Nyerere kwa baiskeli akiieneza TANU,,, Mbona yeye hamumtaji.? Au kwa vile Hana jina la shehe au la...
Hivi mfumo kristo unaolalamikiwa Ndio huu huu unaombwa Kusimamia na kuongoza mahakama ya kadhi,,? Kwa nini waislam wasijisimamie wenyewe Mpaka serikali iwaingilie mambo yenu, tuamieni hekima jamani.
ni kweli kabisa, kama hapa kwa mkuu wa mkoa wanapiga mabomu wakati watu watoka maofisini kwwenda majumbani kwao, ka si ukosefu wa akili ni nini? tena kwa kodi zetu tunazolipa, halafu wanasema wananchi wamepandikiziwa chuki, yaani wao wenyewe ndio wanaoipandikiza na kuinyeshea maji hiyo chuki imee.
Your head is full of ----, even our army is fully equipped, we can take any one south of Sahara, including SA, and yes SA, ,,,,don't you dare think our army is weak, we just don't like publicity,.....
Never say that, you never know, in 50 years frm now 55 pecent of Zanzibaris can become Christians ...... Especially with the way the way we are pushing for one government ,,,,, .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.