Ndugu yangu,
Nunua amani kwa gharama yoyote na sio kihamba kwa gharama kubwa. Mwambie mama akubali baranara ipite pale kwenye shamba lenu hata kama bado ni dogo. usipofanya hivyo vita itaendelea na hapatatosha!!
Mimi pia nimeipitia hiyo hali. Baba alipofariki mama mdogo na wanae waliturusha...
Huyo rafikio alitakiwa amwombe mumewe uroda mara tu walipokuwa kitandani na kama jamaa angeshindwa kudeliver kama ilvyokuwa kawaida angemuuliza kulikoni? Hapo angekumbushia na zile condoms alizoona kwenye kabrasha!! jamaa angekamatika kilaini!!! tena angeomba radhi!! Huyo rafikio amshukuru Mungu...
Mtendeni kuna Gyna anitwa Chetan Ramaiya 0713601321. huyu dr yuko fit kweli lakini anaweza akakuchaji highly if utakwenda na nyodo za kifweza!!! Jitahidi kuwa humble tu na umwoneshe huna hela la sivyo atakuchaji kwa $$$$. kwa kifupi anachaji kulingana na uwezo wa mgonjwa!!! Nampenda kwa vile...
Quote..."I love Burundians na napenda siku moja wangekuwa kitu kimoja na watz. God bless your president Pierre Nkrungiza....a man who fears God, ndio maana hata nchi yenu itabarikiwa sana muda si mrefu".
We Mwana wewe!!! Unamjua Pierre au unamsikia tu kwenye Radio na kumwona kwenye TV? Yule...
Ndoa kwa mtanzamo wangu ni watu kuishi under one roof and share a life together. Mambo ya kuishi mbalimbali ni choice ya wanandoa lakini haikupaswa iwe hivyo. Nashauri wanandoa waishi pamoja kwa gharama yoyote labda kama wamepatana kuishi separate kwa muda mfupi labda 1 year not more kwa sababu...
Wakuu, hii nchi inaliwa na wenye meno!!! Kila opportunity inapotokea basi wanakula tu. Waliojiuzia nyumba kinyemela wangechukuliwa hatua kwanza si tu kurudisha then basi kimya!! Ufisadi hauwezi kumalizwa na mafisadi!! period.
Watawala watambue kwamba hili suala la kujiuzia nyumba za serikali...
Jamaa wanaotunga hizo sheria wanajua kabisa kwamba hata wao zinawahusu ikitokezea kwamba wameachishwa kwa hiyo they are not objective when drafting them, they leave loopholes!!. Kwa upande mwingine wabunge wanaopitisha sheria huwa hawazisomi critically. Laiti kama kila mtu angetimiza wajibu...
Maane umenifurahisha sana kwa kutupa uzoefu wako. Nakushukuru pia Malila kwa neno hilo la "wanaume kukaa na wanawake kwa akili"
Mimi nilibahatika kuingia porini au msituni nikajitafutia chui(leopard) wangu miaka 6 iliopita. Kachui kangu nimekaa nako kwa akili mno miaka yote hii and all is going...
Labda haogi mara 2 kwa vile Sasa hivi Dar sio joto sana. Halafu fikiria mfano mtu anatoka asubuhi na gari full AC, anafika ofisini full Ac anatoka kazini na kuingia garini full AC na mwenyewe asubuhi alitumia 24 hrs lasting deodorant na perfume juu. Akirudi home jioni ananukia wala hana...
wewe Punda wewe,
Bila shaka hupo Bongo na kama upo Bongo basi hufauatilii taarifa. Said Mwema alisema on TV kwamba nchi imetekwa na mafisadi. Halafu you sound very arrogant. Why??? lazima umetumwa tu!!!!
Mimi si mwana-CCM wala CHADEMA. Inapofikia issue ya kitaifa sitaona aibu kutimiza wajibu kuitetea nchi yangu. Ikibidi kumpongeza Rais nitafanya hivyo kwa kujali utaifa wangu.
Kwa hiyo unataka kusema hapo unaitetea nchi siyo? We acha bana. Mafisadi walishaiteka nchi hata Said Mwema alishasema...
Habari hii inauma sana!!!!
Viongozi wneye uchu wa kujinufaisha wataipeleka nchi hii pabaya. Wananchi wakishachoka na hali hii patakalika hapa Tz kweli. You can fool some people for some time but you can not fool alll the people all the TIME.
Historia itamuhukumu kiongozi yeyote mwenye...
Pundamilia,
Nilikuwa nakufuatilia kwa makini lakini umeniboa. Yaani unamjibu Wildcat hivyo? Mjibu kwa hoja kama unavyotaka wengine wajibu au wewe umetumwa kumtetea JK kwa ngawira kidogo sasa umechukia watu wooooote hawakuungi mkono?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.