Search results

  1. Mchola

    Dr Batilda akimbizwa Selian Hospital !!!!

    this is shocking news!!
  2. Mchola

    Is this normal?

    Mwanajamii1, I cant agree with you more!! Hiyouliotoa inaitwa busara!!
  3. Mchola

    Mila na Desturi na Dhulma za familia

    Ndugu yangu, Nunua amani kwa gharama yoyote na sio kihamba kwa gharama kubwa. Mwambie mama akubali baranara ipite pale kwenye shamba lenu hata kama bado ni dogo. usipofanya hivyo vita itaendelea na hapatatosha!! Mimi pia nimeipitia hiyo hali. Baba alipofariki mama mdogo na wanae waliturusha...
  4. Mchola

    Felician Barongo wa Mzumbe University

    Kapuchi, Umeomba ushauri nami nakupa huo. Waambie hawa wanaoombwa rushwa wawasiliane na TAKUKURU ili huyu mkware awekewe mtego na kunaswa!! Wanaweza wakamwekea mdada kinasa sauti ili mwalimu anapomtongoza arekodiwe. Haitoshi tu kulalamika bali inabidi kuchukua hatua!!
  5. Mchola

    Mume kutembea na "zana"

    Huyo rafikio alitakiwa amwombe mumewe uroda mara tu walipokuwa kitandani na kama jamaa angeshindwa kudeliver kama ilvyokuwa kawaida angemuuliza kulikoni? Hapo angekumbushia na zile condoms alizoona kwenye kabrasha!! jamaa angekamatika kilaini!!! tena angeomba radhi!! Huyo rafikio amshukuru Mungu...
  6. Mchola

    Mrija mmoja umeziba

    Mtendeni kuna Gyna anitwa Chetan Ramaiya 0713601321. huyu dr yuko fit kweli lakini anaweza akakuchaji highly if utakwenda na nyodo za kifweza!!! Jitahidi kuwa humble tu na umwoneshe huna hela la sivyo atakuchaji kwa $$$$. kwa kifupi anachaji kulingana na uwezo wa mgonjwa!!! Nampenda kwa vile...
  7. Mchola

    Laughter series: Especially for women!

    ha ha ha ha, Does that imply the husband is willing to do it daily provided it is the different mate everyday????
  8. Mchola

    Why Burundians paying for visa in Tanzania and Tanzanians not paying in Burundi?

    Quote..."I love Burundians na napenda siku moja wangekuwa kitu kimoja na watz. God bless your president Pierre Nkrungiza....a man who fears God, ndio maana hata nchi yenu itabarikiwa sana muda si mrefu". We Mwana wewe!!! Unamjua Pierre au unamsikia tu kwenye Radio na kumwona kwenye TV? Yule...
  9. Mchola

    The Relocating dilemma

    Ndoa kwa mtanzamo wangu ni watu kuishi under one roof and share a life together. Mambo ya kuishi mbalimbali ni choice ya wanandoa lakini haikupaswa iwe hivyo. Nashauri wanandoa waishi pamoja kwa gharama yoyote labda kama wamepatana kuishi separate kwa muda mfupi labda 1 year not more kwa sababu...
  10. Mchola

    Nyumba zote zilizouzwa zirudishwe serikalini

    Wakuu, hii nchi inaliwa na wenye meno!!! Kila opportunity inapotokea basi wanakula tu. Waliojiuzia nyumba kinyemela wangechukuliwa hatua kwanza si tu kurudisha then basi kimya!! Ufisadi hauwezi kumalizwa na mafisadi!! period. Watawala watambue kwamba hili suala la kujiuzia nyumba za serikali...
  11. Mchola

    Serikali :Lowassa na wenzake waliojiuzulu walilipwa mafao-Udhaifu wa sheria ya Mafao

    Jamaa wanaotunga hizo sheria wanajua kabisa kwamba hata wao zinawahusu ikitokezea kwamba wameachishwa kwa hiyo they are not objective when drafting them, they leave loopholes!!. Kwa upande mwingine wabunge wanaopitisha sheria huwa hawazisomi critically. Laiti kama kila mtu angetimiza wajibu...
  12. Mchola

    Mambo ya kutafakari kabla ya kuoana

    Pdidy, nakushukuru kwa masomo yako 10. Umekolea mzee lakini jina lako Pdiddy lingeweza kunifanya nisione articles zako kama si serious vile!!
  13. Mchola

    Wanawake huwa wanapenda/kuhitaji nini?

    Maane umenifurahisha sana kwa kutupa uzoefu wako. Nakushukuru pia Malila kwa neno hilo la "wanaume kukaa na wanawake kwa akili" Mimi nilibahatika kuingia porini au msituni nikajitafutia chui(leopard) wangu miaka 6 iliopita. Kachui kangu nimekaa nako kwa akili mno miaka yote hii and all is going...
  14. Mchola

    Msaada: Mme wangu hapendi kuoga!

    Labda haogi mara 2 kwa vile Sasa hivi Dar sio joto sana. Halafu fikiria mfano mtu anatoka asubuhi na gari full AC, anafika ofisini full Ac anatoka kazini na kuingia garini full AC na mwenyewe asubuhi alitumia 24 hrs lasting deodorant na perfume juu. Akirudi home jioni ananukia wala hana...
  15. Mchola

    Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni; Bravo JK

    wewe Punda wewe, Bila shaka hupo Bongo na kama upo Bongo basi hufauatilii taarifa. Said Mwema alisema on TV kwamba nchi imetekwa na mafisadi. Halafu you sound very arrogant. Why??? lazima umetumwa tu!!!!
  16. Mchola

    Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni; Bravo JK

    Mimi si mwana-CCM wala CHADEMA. Inapofikia issue ya kitaifa sitaona aibu kutimiza wajibu kuitetea nchi yangu. Ikibidi kumpongeza Rais nitafanya hivyo kwa kujali utaifa wangu. Kwa hiyo unataka kusema hapo unaitetea nchi siyo? We acha bana. Mafisadi walishaiteka nchi hata Said Mwema alishasema...
  17. Mchola

    Revealed: Tanzania`s shocking vast wealth

    Habari hii inauma sana!!!! Viongozi wneye uchu wa kujinufaisha wataipeleka nchi hii pabaya. Wananchi wakishachoka na hali hii patakalika hapa Tz kweli. You can fool some people for some time but you can not fool alll the people all the TIME. Historia itamuhukumu kiongozi yeyote mwenye...
  18. Mchola

    Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni; Bravo JK

    Pundamilia, Nilikuwa nakufuatilia kwa makini lakini umeniboa. Yaani unamjibu Wildcat hivyo? Mjibu kwa hoja kama unavyotaka wengine wajibu au wewe umetumwa kumtetea JK kwa ngawira kidogo sasa umechukia watu wooooote hawakuungi mkono?
  19. Mchola

    Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

    Mkuu Kunguruwhite, NIMEKUKUBALI. DARSA LAKO HALINA UTATA. ENDELEA KUTOA SHULE BILA HIANA. BY THE WAY SHULE KAMA HIZI ZINAHITAJIKA MNO!!!!!!
  20. Mchola

    Wahaya tunachunguzwa sana katika mapenzi, why?

    Kwani wahaya kwa asili hawatahiri kuondoa govi? Naomba jibu pls japo nje ya mada kuu
Back
Top Bottom