Polisi mjini Dallas wameomba msaada wa kumpata mtuhumiwa wa mauaji ya mhamiaji kutoka Tanzania, Johnson Mdoe Mchaina ambaye alikuwa anafanya kazi usiku kusaidia familia yake iliyopo Tanzania anapotoka.
Hivi ya CCTV inamuonyesha mtuhumiwa akimpiga risasi Johnson na kuchukua maisha yake. Tukio...
https://www.wsj.com/articles/trump-administration-plans-to-add-seven-countries-to-travel-ban-list-11579638341
Tanzania ipo Kati ya nchi zilizopigwa barn na USA habari zaidi fungua link
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ukiwa na iphone huitaji upupu huo kila kitu kinakua stored icloud na miziki yote unaipata apple music au tidal au spotify
Muvi ni netflix hulu amazon prime videos etc.... tatizo la bongo network na bundle wanaminya sana
Sijajua why apple store tanzania hawakupi simu mpya ikisumbua kioo au battery kwa Huku US iphone ikisumbua unapeleka apple store jamaa wa genious bar wanakuomba samahani kwanza wanachukua sim mbovu wanakupa mpya kabisa, nshabadiri iphone 7 mtumba ulisumbua battery nikawapelekea apple store le...
Nipo kutztown pennsylvania hapa states, hapa ningekuwa na muda ningeenda golazo pub betrehem ndo kuna shangwe la soka but nipo job mpaka saa 11 jioni ya huku
Jamani mnaokuja US mjiangalie na wahindi wahuni wahuni sana me wamenipokea new york na kuniliza 165 jfk pale na ndo nilikua nafika...nikija rudi bongo naroga mtu mimi haiwezekani
Nimefight Sana kuingia uk, usa tangu 2009 nimefail, nimejaribu njia zote mpaka 2012 nikaenda burundi kujaribu kuondokea kule kama mrundi niingie belgium then nizame uk but nkafail...mwaka jana nimerusha kete yangu usa niingie kwa program ya mast nipate j1 visa nimetoswa nayo nshajikatia tamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.