Na sisi hatuhitaji kuiuza kama huyu mama, ni kupunguza safari za Raisi tuu na kulazimisha viongozi wa serikali kupanda economic class wakisafiri. Hili likifanyiwa kazi tunajenga reli ya kati mpya bila msaada kutoka Japan
Angalia uhamuzi wa kiume uliofanywa na mwanamama, nadhani tunahitaji raisi mwanamke this time
Malawi sells jet to avert food crisis - Africa - Al Jazeera English
Jamani watanzania hebu tuache uvivu wa kufikiri na kumsingizia shetani kwa kila kitu. Kama kuna dhambi ya kumsingizia shetani nadhani waafrika tunaongoza. Mbona kila kitu siku hizi watu walishafanyia utafiti na majibu ya utafiti yanapatikana bureeee kwenye Internet?. Hizi ndio sababu zinatufanya...
Re: Jamani huu si uchawi saidia
Jamani watanzania hebu tuache uvivu wa kufikiri na kumsingizia shetani kwa kila kitu. Kama kuna dhambi ya kumsingizia shetani nadhani waafrika tunaongoza. Mbona kila kitu siku hizi watu walishafanyia utafiti na majibu ya utafiti yanapatikana bureeee kwenye...
Jamani watanzania hebu tuache uvivu wa kufikiri na kumsingizia shetani kwa kila kitu. Kama kuna dhambi ya kumsingizia shetani nadhani waafrika tunaongoza. Mbona kila kitu siku hizi watu walishafanyia utafiti na majibu ya utafiti yanapatikana bureeee kwenye Internet?. Hizi ndio sababu zinatufanya...
Hua mara nyingi tatito linakua kwa mama halisi wa mtoto na ndugu zake kwa kutaka kumwonyesha mtoto kua wanamjali kuliko mama mlezi wakati ukweli ni kua mara nyingi unakuta hawana uwezo wa kifedha (kumsomesha n.k). Mimi nimelelewa na mama wa kambo baada ya mama kufariki nikiwa na miaka 13 kusema...
Hili mbona tamko mbona limesimama?, yani hapa mzee Yusuph mwenyewe aliandika mistari,kurugenzi yamawasiliano ikulu wakaweka muhuri na sahihi tuu. Kitu ni tamko la ikulu kuhusu watu wanaomchafua mama salma kwa kumuhusisha na umiliki wa home shopping center...... Tafuta hili tamko ndio utajua...
Mimi ni kijana umri wangu ni miaka 32 na nimeajiriwa. Elimu yangu ni ya chuo kikuu, natafuta msichana mwenye sifa zifuatazo ili tuwe marafiki na ikifaa kama wote tutaridhia tunaweza kuwa wachumba.
1. awe mkristo
2. awe na elimu kuanzia chuo kikuu, (awe anamalizia masomo au ameshamaliza na...
Nimekutana na hii ripoti ya world bank sijui kama mwakyembe anayo, naomba mtu mwenye contacts zake am-fowardie ili afanyie kazi sehemu zenye udhaifu zilizo wazi kuziona.
pia mimi nina swali la kizushi kwako mh.Mwakyembe, kwanini bandari ya Tanga isifufuliwe ikafanya kazi kama zamani?, kwanini...
Wakati taifa likipigwa na butwaa kuhusu matokeo ya kidato cha nne. hebu tujikumbushe watu waliotufikisha hapa tulipofikia ...... soma gazeti la wakati huo mchakato wa kudidimiza elimu ulipoanzia na wale wabunge wa chama tawala walipoushangilia. fungua hii link hapa chini
OPEN HEART, OPEN MIND...
EE bana mmenikumbusha enzi za Mkanda boy. Nakumbuka enzi za tuition pale Mtendeni jamaa alipiga darasa tar 25 na 26 December na darasa likajaa, waliokosa tar 27 akawa anasema ...."Mpunga boy haoniiiii........ akimaanisha wameachwa kwenye topic. jamaa alikua anapiga suti nyekundu kila siku na...
Mimi ni kijana miaka yangu ni 32, elimu yangu ni shahada ya pili. Nahitaji rafiki wa kweli ambae kama Mungu akipenda tunaweza kuwa wachumba. Msichana awe na umri usiozidi miaka 26, awe na angalau na shahada ya kwanza au awe mwanafunzi wa chuo kikuu, awe mkweli na anayemuogopa Mungu, Mkristo, awe...
tuendeleze hesabu mkuu....
Tumeambiwa kua deni la taifa kwa sasa limefikia trillion 22 (hapa hilo deni tunalodaiwa na mafisadi yaani -10% halijajumlishwa). Rais ametangaza idadi ya watu kua tumefikia 44,929,002 (alhamdulah tumeongezeka angalau deni la kila mmoja limepungua)
twende kwenye...
Watanzania tuache mambo ya kumsingizia shetani na Mungu. Hakuna chochote hapo, Naomba ufuate ushauri ninaokupa japo kuna wachache wameshakupatia. kwanza hapa hakuna cha shetani wala nini. Fanya utafiti mwanyewe halafu niandikie majibu ya utafiti wako, siku ikitokea hiyo angalia ulikua umelalaje...
wanajamii angalieni hii dialogue hapa na kutafakari Is British/Canadian desperation for Tanzanian gold a result of recession?-Africa Today-06-12-2012 - YouTube!
Hii ndio bongo lala salama......, angalia jinsi tunavyoonekana kwa nje Is British/Canadian desperation for Tanzanian gold a result of recession?-Africa Today-06-12-2012 - YouTube!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.