Mh. Lowasa kweli anaweza kumrithi Jakaya tena mie binafsi ntampigia kura inshaallah maana najua ndio mwisho wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar tutaendeleza umoja kupitia muungano wa mkatabaaa!
niliwahi kumuona kwenye picha ya pamoja yakumpongeza mtoa hoja binafsi bungeni 1993 kuanzishwa kwa...
ni kama vile askofu kilaini ametoa pongezi kwa mkutano mkuu wa ccm taifa na kumpongeza dr jakaya kwa uteuzi wake ndani ya chama,si alikuwa aongee mambo ya kanisa tu ama....
kwa upande wangu umri wa miaka 35 kidogo napendekeza iwe umri wa kuanzia miaka 70 na kuendelea ili tuwapate wenye busara zaidi,na kuhusu urais uwe wa miaka 22 ili tupate kumuenzi vizuri mtakatifu mwalimu nyerere.
Sitaki kuwalazimisha watu waamini nnachokisema lakini siku ile ya vurugu sikuona sababu ya polisi kuvamia na aakupiga mabomu na kuvamia msikiti na kuunajisi kwa maji ya uasho na mabomu,mimi nilikuwepo eneo la tukio kwa kujua nakwenda kuitikia dua ya waliotangulia mbele ya haki siku ya ajali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.