Mkuu nilichotaka kujua ni GPA ya miaka yote huwa inawekwa kwenye cheti au ni ya baadhi ya mwaka mfano mwaka wa tatu tu?..na je kama ni ya mwaka wa tatu tu performance za miaka mingine huwa zinawekwa tu kwenye cheti pasipo kuhesabiwa gpa zake na kujumuishwa na zile za mwaka wa tatu?
so pale kwenye cheti huwa inawekwa agregate ya performance ya miaka yote the GPA huwa ni ya mwaka wa tatu tu au na GPA pia ni ya miaka yoyote?..ufafanuzi kidogo mkuu!
Heshima kwenu wanajamvi!!!...Ningependa kufahamu huu mfumo wa GPA kwa level za degree hususani ile ya uhasibu huanza kuhesabiwa mwaka wa ngapi na kuwekwa kwenye cheti??..je huhesabiwa kwa miaka yote mitatu? au je ni mwaka wa pili na wa tatu tu? Au ni ule mwaka wa mwisho tu yani wa tatu?
Heshima kwenu wanajamvi!!!...Ningependa kufahamu huu mfumo wa GPA kwa level za degree hususani ile ya uhasibu huanza kuhesabiwa mwaka wa ngapi na kuwekwa kwenye cheti??..je huhesabiwa kwa miaka yote mitatu? au je ni mwaka wa pili na wa tatu tu? Au ni ule mwaka wa mwisho tu yani wa tatu?
Heshima kwenu wanajamvi!!!....kuna swali linanitatiza nalo ningependa pata majibu toka kwenu.Mtu aliyepata degree toka chuo cha ITA huanza kufanya mitihani ya bodi ya wahasibu kuanzia module ipi??..ni E na F kama watu wa accountancy au ni tofauti?
Heshima kwenu wana jamvi. Naomba msaada kwa mwana jamvi yoyote anayeifahamu kwa undani simu ya Maxwest z5. Je! ni simu nzuri in general ?.
kweli ikiwa mpya kwenye box inaweza fika 950,000 pesa za kitanzania?
Mwenye kuijua hii simu au commodity za maxwest naomba anijuze.
cheers!!
Heshima kwenu wanaJF!!!....nina Galaxy Note2,asubuhi ya leo nlikuwa nikibrowse profiles za watu mbali mbali kwenye wikipedia kwa kutumia browser ya wikipedia ambapo ghafla simu yangu ilizima ghafla na kuanza kureboot yenyewe...Wakati ikireboot ilistuck kwnye ile part ambapo huandika maneno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.