Tatizo la watanzania ni kuwa mashabiki wa vyama kama walivyo kwa timu za mpira
Tanzania itabadilika siku wananchi watakapoacha ushabiki wa vyama na kuanza kuwawajibisha wanasiasa kwa kura
CCM wakishindwa unawanyima kura
Chadema wakishindwa unawanyima pia
Historia inaonyesha CCM imeshindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.