Hayo ya kawaida sana Bongo haswa kama anasafrshwa kutoka mkoa mmoja kwenda mwingne.ila swali kubwa la kujiuliza;huyo mfungwa ana tuhuma gani?askari km walibeba bunduki inaweza ku7bisha madhara gani kwa abiria?na kuna uhalali gani kufanya ivyo?
Mkaguzi anapofanya kazi yake anapaswa kuona haya madudu na sio kupelekewa kwani yeye co polisi au mahakama wanaothibitisha hatia ya mtu. Inamaana CAG hakufika PPF au huu ni uzushi au nayeye alipewa chake?NAWAZA TU.
Mengi yamesemwa ktk uzi huu na ni ya kweli kabisa.2kumbuke watanzania wengi wako emotional na ukitaka kuwarubuni ni kuwadanganya kwa kuwafuata.serikali ilitaka sifa na imepata kwa kutoa izo 15m za wizara,10m za ubani(JK) na kugharamia mazishi,hawakuangalia vipaumbele ktk hilo. Ukitaka kujua...
Ubinafsi wetu cku zote una2fanya 2sahau 2likotoka. Mama Salma hajui wala kukumbuka kama kuna foleni popote. Hatoki jasho kwa lolote na hatathubutu kutoka jasho kwa kukumbuka yaliyopita. Sisi tunaweza kufanya mabadiliko ktk nafasi ndgo 2lizonazo na hii itatujengea uwezo wa kuthubutu 2takapokuwa...
Askari wa cku izi unaweza kuwaita wakasema hawana usafiri.mafunzo ynyewe wengi wamechakachua,wabongo kuhusu 1st aid tupo nyuma ile mbaya na wengi wamepoteza maisha kwa kuwa ignorant wa ayo mambo.cjui lini 2tafika kucmama peke ye2.
"the headmaster" got the last ten qns wrong. Akamkubali dogo apelekwe university kabisa na c std 3.duh huyn h/m nafkri alikua mbongo pia coz hata mi nlikosa hayo majibu.
Mme,mke au mpenzi naamini ana (ma)rafiki wa jinsia tofauti.maadam ni kukaa,kunywa na kuongea kwa bashasha is not a big deal lbda km ingekua ni mambo mengine ya kimahaba zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.