Sasa ni miaka 5 imeshapita toka nizungumzie suala hili kua Makonda ni Magufuli ajaye, wengi mlinipinga kwa kejeli.
Sasa ni miaka 5 bado nawaambia Makonda ni Magufuli wa sasa kwamba Makonda ana msimamo kama Rais magufuli anasimamia kauli zake sio kigeugei hakika ni kiongozi,kiongozi anazaliwa...
Kama uko mwanza njoo nikuuzie sim hiyo bei rahisi naiuza kwa sababu nimenunua ingine.Hamjui fundi camera nzuri nakupa na betry ya ziada ina uwezo wa kukaa na chaji zaid ya siku mbili kwa matumizi ya kawaida.0714644512
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawasilisha malalamiko yangu kwa uchungu mkubwa, kwa heshma na taadhima naziomba mamlaka za juu zinazojihisisha na SUMATRA kitenga cha mabaharia wamulike kwa jicho la pili kitengo hiki kwani ni kero kwa waohitaji huduma katika ofisi hizi.
Wafanyakazi hasa wale wa ngazi za chini kwenye eneo...
Kama upo wilaya ya Hai eneo la bomang'ombe au jirani na maeneo hayo na unataka kuhamia Tanga mjini idara ya msingi tuwasiliane tubadilishane.naomba uje pm
Piga game siku zote kuanzia Mara baada ya kumaliza hedhi hadi siku ya 17 baada ya kumaliza.....hiyo ndio njia raisi kwakufanya hivyo kama una uwezo wakushika mimba basi hapo haina mjadala.Nakutakia mafanikio mema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.