eti wadau mbona ndugu yang alipelekwa kizimbani na ka-askari kamoja tena kalikokuwa kamejichokea,inakuaje haka kamalaya kanapelekwa na kituo kizima cha police?afu bongo ilivyo ya mapoyoyo utaona kesi itakavyopigwa tarehe mpaka wabongo 2sahau!
ofcoz ndo mana hata ukimwi nafikiri ulisababishwa ma mambo haya ya kizungu ambayo wenyewe wanachukulia kama maendeleo ya sayansi na tecnologia katika suala zima la mapenzi.Aisee wapumbavu sana hao!!!
Mi nimemaliza hapo shy bush 2011,ackwambie mtu shule ile ni Bonge la skonga kwa kila kitu.Nachokushauri ukifika 2 omba wakupangie bweni la Twiga(bweni zuri sana lile).Pia ucsahau kuandaa hela ya mapuru but c lazima kwani waweza kuwa mpulizaji mzuri tu.Ukifika mpe hai xana ticha wangu wa namba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.