Hukumu wote tunajua haiwezi kuwa sahihi, tunapoteza mda kufikiria yasiyo sahihi na kuacha yaliyo sahihi. Watanzania huu mda ni wa kuact sio kulalamika. CCM wame act ndio maana tumevuliwa ubunge, CDM wanajibu matusi ya Kibajaji kwa kulalamika. Mimi huu naita unafiki kuto kuwepo wananchi walio...
Sheria ni tofauti na hisia za wanachi, ukifuatilia kesi nyingi duniani za ushaidi wa wazi na watuhumiwa wanashinda. Wa CDM kunatofauti kubwa kati ya hisia na sheria, huu sio wakati wa kushangaa na kulalamika ni wakati wa kujifunza na kukubali mabadiliko. Tunapo lalamika hatuna ushaidi wa Lema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.