Honda ni moja ya magari imara sana. Vipuli vyake vingi bado ni genuine na hapo ndiyo huipa gari thamani inayostahili. Performance side, ni gari zenye performance nzuri sana. Unaponunua gari leo kigezo cha kuliiuza baadae usikiweke, gari huuzwa likiwa kwenye hali nzuri na bei muafaka. Nunua...
Awali ya yote nakupongeza Nguvu ya Ajbu kea maelezo mujarab hapo juu.
Pia nampongeza mleta hoja Bw Said Mohamed
Maelezo ya mjibu hoja Nguvu ya Ajabu yamejitosheleza kuelezea upande wa pili au kutolea majibu pale mae'ezo ya mtoa yalipokuwa hayajajitosheleza.
Niongezee kwa kusema kuwa vikao vya...
I respect democracy na uwepo wa vyama vingi vya siasa. Hata hivyo, siasa si uadui na wala si platform ya kutekelezea evil minds za wanasiasa wachache wasio wavumilivu kwenye duru za ushindani wa kisiasa.
Chadema si mali ya mtu binafsi bali ni mali ya wanachama, hivyo basi busara ya viongozi...
Nilipata nafasi ya kuona clip ya mkutano ule wa Nape pale Houston. Kwanza kabisa napenda kumpa pongezi nyingi sana Nape kwa kuwa ni mmoja kati ya viongozi wachache wa Tanzania ambao wamethubutu kutia mguu Houston. Katika sehemu zote ughaibuni ambazo watanzania wanaishi, Houston imekuwa na...
"Tembea ujionee usingoje kuambiwa, duniani kuna mengi na yote yanakusubiri...huwezi kufanisha Morogoro na Darisalama...tembea ujionee..."
RIP Dkt Remmy
Serikali ya uingereza ndiyo ipo responsible na ulinzi wa kiongozi huyo na wala hawezi kuamuru ni namna gani alindwe...kwa kifupi, kama...
CHADEMA needs to remove the word 'DEMOKRASIA'. CHADEMA si chama kinachopigania kuwepo kwa demokrasia. Sasa aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA mkoani Mbeya ameamuakuwatosa, kwanini mnampigia kelele na kejeli as if uamuzi huo si wa kidemokrasia?
Hao viongozi waandamizi wa Mkoa wa Mbeya wanailewa...
AHADI: KUENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
Ujenzi wa miradi 15 ya barabara kwa kiwango cha lami yenye jumla ya urefu wa
Km. 1,398.6 imekamilishwa katika kipindi cha 2005 - 2010 huku ujenzi ambao
unaendelea ukiwa ni wa miradi 29 ya barabara zenye jumla ya Km. 2,536.4
You better be careful guys...keep on watching your watch....kuna mtu hakuwa makini mahali fulani!!!!!!!!!!!!
Najua kabisa mtalaumiana mbele ya safari heri ya wale ambao tayari wameonesha wasiwasi watakuwa na la kusema wakati ukifika.
Kisheria Dr Kimei ana haki ya kushiriki katika shughuli za kisiasa na katiba ina mruhusu kwa vile hajavunja sheria.
Dr Kimei anashiriki kama yeye binafsi si kama CEO wa CRDB na shughuli hiyo ni kwa ajili ya maendeleo ya jimbo lake.
Nadhani kama suala ni la kimaadili basi nafikiri mawakili wa...
Kuna mgombea ubunge mmoja wa Chadema kule Morogoro anafanyia mikutano yake chini ya bango la CCM ili kuhadaa wananchi kuwa wao na CCM wanafanya kampeni pamoja.
Alishtukiwa akabaki yeye na wapambe wake tu.
Mtu wa Pwani,
Unajua CCM iliamua kabisa mwaka huu hakuna kampeni chafu na ndiyo maana mtaa wa pili wanajitahidi kuleta uchafuzi lakini CCM imekuwa very cool inaendesha kampeni kistaarabu kabisa. Kwenye mikutano zinazomwagwa ni sera tu na si mabomu.
Sasa basi kama tungekuwa tunataka kuwaumbua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.