Mwenzetu kumbe una watt 3!.papara za nini badala ya kutunza hao makid ili baadae wakutunze? Kuna watu hawana hata mtt mmoja.ukiugua utayakumbuka
yote hayo? Tulia. Jali uhai zaidi kuliko starehe.
mja hunena muunngwana ni kitendo.Chama Cha Majembe kinajinadi kwa mbwembwe lakini je,sisi vijana wapya wa Chama Dereva Makorongoni tutapata nafas ya kuandikishwa ili tupige kura lini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.