Search results

  1. M

    Matumizi na Faida za Asali katika afya ya binadamu

    wakuu natafuta asali ya nyuki wadogo kwaajili ya dawa. kwa anayejua inapopatikana pls nipm
  2. M

    nimeitwa kazini afisa tarafa.

    nimepangwa nzega mjini
  3. M

    nimeitwa kazini afisa tarafa.

    zilitangazwa mwaka jana mwezi May nafasi 145
  4. M

    nimeitwa kazini afisa tarafa.

    Wakuu namshukuru sana Mungu maana nimepokea barua ya kuitwa kazini. Cha ajabu hawajatoa majina kwenye web. Kuna siri gani hapa?
  5. M

    UDOM Jamani!!!!

    Udom usanii mtupu
  6. M

    Safari ya kwenda UJERUMANI

    Angalao kama wamekuambia uende ofisini kwao. Yaweza kuwa zali ati
  7. M

    Biashara Gani Ina faida Nzuri?

    Nunua vinguo vya watoto vya mitumba utembeze mitaan, ila jaman kama una wazo la biashara kwa mtaj wa elfu20 naona kama unatania vile!
  8. M

    Kuitwa kazini - psrs( usaili wa december 2012)

    Mwenzenu napata wivu nataman ningekuwa mi ndo nimepata
  9. M

    Kuitwa kazini - psrs( usaili wa december 2012)

    Tuliofanya afisa tarafa mbona hatukumbukwi jaman? Aagrrr
  10. M

    Kuitwa kazini - psrs( usaili wa december 2012)

    Tunaotumia simu tunaomben msaada wenu tafadhal
  11. M

    Mhudumu kwa bibi-mshahara 150,000 NET

    Mhudumu anapatikana, ni mtu mzima, ana uwezo wa kumlea kwa kiwango unachotaka, ni mwelewa, hajasoma nursing ila kulingana na uzito wa kazi angalao laki mbili.
  12. M

    Kuitwa kazini afisa tarafa lini?

    Mbona hawajatoa majina? Tulifanya interview mwezi wa kumi, hebu muulize pls yeye alipata vipi taarifa?
  13. M

    Kuitwa kazini afisa tarafa lini?

    Wajameni nauliza kama kuna tetesi za lini wataita kazini nafasi za afisa tarafa kwa wale tuliofanya interview tarehe 5 oct.
  14. M

    Kifo cha Kanumba: Ni uzembe tu? Sio Lulu!

    poor Lulu. Nakaonea huruma sana haka katoto. Laiti kangekuwa kametulia yasingekapata yote haya.
  15. M

    Tazama miujiza ya Yesu

    pole, subir muujiza. Watu wanasoma hata qt wewe unasubir muujiza! Kwann usitafute hata kaz ya uhouseboy? Hapo ndipo uwezo wako unafika.
  16. M

    Hodiii...!

    Hello wanaJF, am happy to be a member of such a biggest community. Nategemea kunufaika kupitia ninyi. Love u all
Back
Top Bottom