Tulitegemea kuona serikali ikichukua hatua za dhati kumaliza mgomo lakini kwa mambo haya:
1.kumshtak rais wa madaktari mbili
2.kuwasimamisha kazi zaidi ya madaktari 300
...kikwete jiuzuru nchi imekushinda
Hakuna mwanadamu aliyezaliwa kwa bahati mbaya kila mwanadamu ana makusudi na kazi maalumu mungu amempa duniani,tofauti ni kwamba tunazidiana vipaji ambavyo mungu ametupa,makani ni mmoja wa wanasiasa hapa nchini ambao mungu alimjaalia kipaji na uwezo mkubwa katika medani ya SIASA,ninaweza kusema...
Nape kwa niaba ya ccm amejitokeza kumpongeza Nassar lakn hii inatafsir gan ukzngatia na maneno ya kashfa waliyotoa dhid ya Nassar,Nape anasema uchaguz ulikuwa huru na wa haki wakat wao wali2mia mbinu zote kuhakikisha chadema hawashindi..chadema tunasema ha2tak pongez za magamba..
Peopleeeees!namn kuwa umeitikia vyema,wana chadema wote kwanza tumshukuru mungu kwa ku2pigania na kuiondoa ccm arumeru,licha ya ushindi huu mzito ninaomba tucjisahau elimu ya uraia iendelee kutolewa nch nzma kijiji kwa kijiji mtaa kwa mtaa na nyumba kwa nyumba,2kiwa kwenye shangwe hz makamanda...
Kwa muda mrefu tumefatilia kampen za arumeru na ss znakwenda mwisho,na 2meona kampeni zenye mvutano wa vyama viwili vyenye mashabk weng Chadema na CCM,lakn Kwa chama km CCM nakfafanisha na koti ambalo lina chawa ambalo halwezekan kuvaliwa tena,mambo wanayofanya ndan na nje ya chama knawatafuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.