M4C sasa kutua dodoma,kwa ratiba iliyopo ni kwamba CDM sasa inajiandaa kufanya oparation Kubwa dodoma na wilaya zake zote sasa cjui wajamba zangu hasa waishio wilaya ya bahi wako tayari kufa wamesimama au kuendelea kuishi huku wamepiga magoti.WAANDISHI WA HABARI KUI UNGA MKONO SERIKALI KUWA...
Du kweliii mi nafikiri kama walimu wata achwa kwenye hili zoezi la sensa, kwa madai kwamba watahujumu sijui mitihani ya Taifa ya darasa la saba itakuwaje watasimamia watu wengine tofauti na walim?
Katika mazingira ya kuiwashangaza wengi mbunge wa jimbo la bahi agawa hela kwa vikundi bila kubainisha hela ni zake au ni hela zinazo tengwa na serilali kwa ajiri ya mfuko wa jimbo?watu wakiwa wamejikusanya wawili watatu walionekana wa kishangazwa n amambo anayo ya fanya mbunge huyo nsa ser a...
KATIKA MAZINGIRA YA KUSHANGAZA WALIMU WA WILAYA YA BAHI WAPATAO 25 WAMEFANYISHWA KAZI YA KUSAHIHISHA MITIHANI YA MOCK WILAYA KWA UJIRA WA SH.5000 KWA SIKU KWA MDSA WA SIKU TANO NA HATIMAYE KUOMBWA WAWE WAVUMILIVU WILAYA HAINA HELA WANGOJE MPAKA HAPO ITAKAPO PATIKANA.HUKU WAKIBEMBELEZWA WASIHOJI...
Waziri wa fedha amenukuliwa akidhibitisha kuwa taifa lina akiba ya kutosha ya dola za kimelekani kuweza kuendesha nchi kwa miezi mitatu swali ni je,kwa nini bajeti ya mwaka wa fedha 2011/2012/ haijatekelezwa hata theluthi moja?kwa nini miradi ya barabara imekwama na wahandisi wanaendelea...
PAMOJA NA KUTUMIA DOLA KAMA WANVYOPENDA STILL TUMECHUKUA KATA YA KILUMBA IS A MATTER OF TIME HATA BI KILEMBWA KWENYE KIVULI KINAISHI ALIWATISHA SANA WATU LAKINI MWISHOWE HATA VIUNGO0 VYAKE VYA MWILI VILI MDIS.:lol:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.