Ni ngumu kujua kwa macho ila kuna mambo mawili kuna wengine ni resist to HIV (ccr5 antagonist). Kuna wengine wakipimwa ni positive ila dalili hawana na wanaweza kukaa hata 10 years bila dalili ila haina maana kuwa ni carrier sababu HIV have a prolonged incubation period due to clinical latency...
Ni somo pana kidogo ila kiujumla nyama sio nzuri kwa matumizi ya binadamu kuanzia kiafya sio nzuri, pia invibration mbaya kwa binadamu na pia sio busara kula nyama. Vipo vyakula mbadala wa nyama kama Sky Eclat alivyokwisha eleza hivyo kama unalengo la kuacha kutumia nyama basi umechangua njia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.