Hilo suala limenyooka vizuri sana. Askofu aliuziwa shamba mwaka 1991. Na waliandikishana kwa mwanasheria na mkataba wa makubaliano upo. Huyo dada ana ndugu zake wa kuzaliwa zaidi ya 10, lazima ujiulize kwanini hawajasimama upande wake?
Msiamini sana habari za magazeti bila kujua ukweli wa mambo.
Ni kweli hapo ndio watu wanapokosea kwamba unatakiwa kuheshimu kazi ya mtu mwingine no matter how much they are earnig out of it...but well kil mtu ana technique yake hata unapoenda dukani mwenye duka will use any way to convince you that product yake ni nzuri...who knows?you may actually be...
hahaha,watu mnaongea kwa uchungu kweli maskini....i dont know abt other network marketing companies manake sijazistudy, but flp ni genuine company na inalipa kodi TRA kama kampuni nyingine yoyote, marketing plan ya forever iko wazi sana mtu yoyote anaweza kuisoma akafanya business na...
Tena ina tinted...mmh.
Hospital imeshuka sana,sio jambo la kuficha..idara za diagnosis ziko hoi, directors hawana priorities,mishahara ndio hiyo,purely govt scale,hakuna hata top up...sasa makusanyo yote ya hela yanaenda wapi???
haha,first date yangu moja...so,we met at around 6.30pm..jamani huyo kaka aliongea yeye tu hadi 9pm,he even came with his own wedding date,kuwa keshapanga yeye...oh,and he was even talking bad things about his young sisters and ex gf..i never turned back....
Okay nashukuru sana.
kwa maelezo yako nadhani kuku wa nyama watanifaa kufuga, kama naanza na vifaranga say 250,gharama ya utunzaji hadi kufikia kuuza itakua roughly how much?chotara au wa kisasa.
Mimi nataka kufuga kuku,ila nahitaji kujua kati ya wale wa nyama,na mayai..wapi wanalipa zaidi?soko langu litakua Moshi na arusha zaidi. Halafu kama ni wa nyama au mayai,wazuri ni chotara,ama kienyeji ama kisasa? Ukishanijibu maswali mengine yataendelea hapo.
Muulize tu amekosa nini kwako? Mara nyingine unakuta kweli mko faithful and all...but you forget that,thats not all that matters....pengine the way you handle her,sio anavopenda.
Na hivi unavosema 'u know she will come back crying'....shows that you are that kind of a guy who thinks u're...
mi nilishaagiza kutoka japanesevehicles.co.jp, na baadae kutoka beforward.jp...magari yalifika salama,nilitafuta agents wa kunisaidia kazi ya kuclear bandarini. tradecarview wana magari mengi,lakini to me it looks like different sellers put their cars in the website,wengine wakiwa matapeli,so...
salon nzuri ya kike nenda k'njaro salon kama ulivoelekezwa hapo juu,more precisely iko opposite General tyre....passport size nzuri kuna sehemu wanapiga vizuri sana kule opposite buffalo hotel,just next to indoitaliano restaurant....Karibu Moshi!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.