Crdb sio benk kabisa sikuhizi...mimi nilitumiwa pesa kutoka nje ya nchi, ikawa imekosewa namba moja ya akaunt ila information nyingine zote sana, huwezi amini ile hela ilikaa takriban wiki moja wameihold, sasa sijui waliiweka akaunt gani manake kwangu haikuingia na wala hawaku irudisha ilipotoka...
Unajua bana hata wakati vyama vipya vya siasa vimeanza ccm hawakushtuka...ila sasa wanajuta wanachokiona..mimi nalifananisha hili na clouds....mnasema vinega wavuta bang nk lakini radio kama times fm ndio wale wanaowadhamini na kuwaweka hewani mara kwa mara, na hata redio nyingine zina piga...
Nyie mnaosema ahurumiwe hamumjui huyo mtoto....mshenzi sana huyoo mwache dhambi yake imtafune...!!! Mi hata simuhurumii na hiyo mimba azalie huko huko jela.....angekuwa mtoto angeshika mimba...!!! Na ole wake asingizie mimba ya Kanumba...!!!
Tatizoo tz tunachanganya usanii na professional za watu....!!! Joyce ni muuza sura tu....kama anaweza vipindi vya mahojiano awe wanarrusha live kubababaaaaake.....!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.