ndo mana huko kote alikopita wanamzngua kama ingekua sio hivo asingelalamika hapa angeshampata, na kwa uwezo wake kiuchumi ndo mana anakutana nao walomzidi elimu..and mara nyingi mwanamke akimzidi mwanaume elimu huwa neno kidogo
mmmmh kazi kweli kweli ila kiukweli kwa dunia ya sasa upo chini sana hebu rudi shule, mana siku hizi videgree vimekua vingi sana na kwa mfano hata mi mwenyewe kwa sasa form 4 siwezi kabisaaaaaaa!!!!
wewe ze dudu unazingua wenzio, afu hesabu hujui na nan kasema kila kozi wanaenda field mwaka wa kwanza? huo ukokotoz wako umeutoa wapi?na kama unashindwa kukokotoa hesabu ndogo hivo utaweza kutumia hiyo asilimia 100 unayojipangia. Kwani we bodi ya mkopo?kuna hela ambayo first year mnatangulia...
Mwaka huu wameshachukua na kwa ambao sio proffesional nafasi zilikua kibao na had walifanyiwa usaili na proffesionals waliitwa direct ilikua tarehe 13july wakatakiwa tarehe 15july wawe washawasili kwenye kambi zao za jkt. Jaribu kufuatilia mwakani tena uone
Nashukuru NN hata wewe umeliona hilo, yan akiwa kwenye zile filamu zetu sasa si ndo utasema mtu ndo huyu,....yan sasa hivi kila anachokifanya yan ni ful kuigiza anajisahau kuwa sa ingine anakua kwenye real life
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.