Katika mitandao inayoongoza upatikanaji wa watu wasiojulikana ni JF.
Watu wengi wasiojulikana wamo humu, humu ndio makazi yako. Robo tatu ya wanaJF hawajulikani, hivyo ni watu wasiojulikana.
Hii ni Nyumba ya watu wasiojulikana
Kuna watu hukubaliana na dhana inayosemwa kuwa ‘usimwamini mwanasiasa’ kuna wakati usemi huu husawiri matendo ya wanasiasa. Tundu Lissu ni kati ya wanasiasa ambao hawapaswi kuamininiwa hata chembe, kwa maneno yake na hata matendo yake.
Tundu Lissu amekuwa mstari wa mbele kumukosoa Rais Magufuli...
MWALIMU BORA
Mwalimu bora ni yule mwenye kupenda matokeo chanya kwa darasa lake. Mwalimu bora huyu husimamia darasa lake katika nyanja zote ili kuleta tokeo bora kabisa.
Mwalimu bora anakuwa ameiva kwa kila nyanja, husimamia darasa lake katika nidhamu ili kutoa tokea bora. Ubanangaji kwake ni...
Max Ngedele, alikuwa rafiki yangu, tulisoma wote huko shy. Tuliishi maisha magumu ya kupanga, nyumba ya nyasi.
Tulikula dagaa pasi nyanya Bali tuliweka unga ili mchuzi uwe mzito. Ugali uliobaki usiku, tulipasha asubuhi ikawa chair yetu.
Max alikuwa mpole
KONGOLE SERENGETI BOYS
Pongezi ziwafikie, japo mpo ugenini,
Faraja mwatupatia, hata ile ya sirini
Hakina mwaleta faraja mchezoni,
Kongole zenu vijana , vifua mbele twatembea
Uwezo muonesha soka kulisakata,
Kama Chenga kwa Angola mmezikata,
Sasa zamu yao Niger ulimi kuwakata
Kongole...
Kwako Comrade Nape
Nakusalimu kiongozi, pole na hongera majukumu ya kulitumikia Taifa.
Kiongozi ninakuandikia waraka huu lengo ni kutaka kujua kweli inayosambaa mitandaoni kuwa mnamo tarehe 8 Aprili, 2017 utakwenda jimboni kwako, na moja ya shughuli utakayoifanya ni kuongea na wapiga kura...
Siku mbili zimepita pasi kujua niandike nini, kila niliposhika kompyuta yangu kuanza kuandika nilikuwa nashindwa nianzie wapi.
Mzee Sitta nenda mzee wetu, Mzee uliyeushinda unafiki kwa kujipambanua kwa maslahi ya Taifa. Mzee uliyepiga vita uzandiki tokea ujana wako. Kijana wa zamani uliyeamua...
Yanga kwa historia haiwezi fananishwa na timu nyibgine yoyote katika ukanda wa Afrika Mashariki. Ni timu ambayo historia yake inaonesha ni sehemu ya uhuru wananchi yetu. Licha ya kuwa Yanga ina historia ndefu bado katika medani ya soka haijafanya vyema kama umri wake ulivyo.
Hivi karibu...
Kudhibiti wakwepa kodi ni lazima,
Walifanya yao nchi pasi huruma,
Walikula na kukomba kwa kukomoaa
Ni udikteta uchwara, basi mimi nautaka.
Wafanyakazi hewa hatukuwataka,
Sasa arobaini imefika, wajifanya hasira,
Waondolewe kwa mbwembwe
Ni udikteta uchwara, basi mimi nautaka.
Madawati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.