Kuna ukweli flani hapa
Hii yote ni kwa kiasi kikubwa kutokana na mtindo mbaya wa maisha.
Wapo wanaume 60's na Wako Njema katika sekta hiyo.
Hii ni kwa jinsia zote ,tutunze afya zetu mazoezi hayakwepeki Mwana wane. Tufanye mazoezi ,tule vizuri.
Kutokea pande za Bunju hapa.
Nawasilisha.
Mdau ngoja nikusaidie kidogo, jibu lako ni hili hapa:
Kuna aina mbali mbali za hymen/ au bikra.
Zipo zilizofunga kabisa hizi zinaitwa Imperforate Hymen- kwa kawaida hizi haziruhusu hata damu ya hedhi kutoka na huwa zinahitaji upasuaji mdogo ili kuruhusu njia kufunguka
Ipo aina nyingine...
Kwa age yako bado una kamuda kakupoteza kidogo angalau miaka miwili mitatu.
Nikuhakikishie tu kwamba tayari upo mikononi mwa matapeli wawili (Alex&Salum) na mlokole mmoja asieeleweka.
Huu ni sawa na mkeka wa betting, mimi ningekushauri u bet kwa frank. Tatizo la huyu bwana ni uwezekano mkubwa...
It seems kilichofanya ukaliwa ktk matukio yote hayo ni genye ulizokuwa nazo.
Tukio la mkuu wa wilaya ulishawishika na pesa.
Hence proved mwanamke akiwa na genye anaweza kuliwa na mtu yeyote kama mazingira yanaruhusu.
One of my weakness napenda sana mourning ikiwa real ubaya mmoja kwangu niko sensitive na fake mourning na ninao uwezo mkubwa wa ku detect a fake one ..nikigundua ina ni turn off kama ni first time sirudi tena hapo najua no feeling..incase ni mtu wangu wa siku nyingi najua tu siku hiyo hayupo kwa...
Tujadili kwa pamoja, Je ni changamoto zipi zinazokikabili kazazi cha millenials hususani kwa Tanzania?
Millenials ni kizazi cha watu wote waliozaliwa Kuanzia miaka ya themanini mwanzoni kuja mpaka miaka ya elfu Mbili Mwanzoni. Hichi ndio kizazi kilichobobea na kujikita katika matumizi ya...
Kwa comments hizi hichi ndio kile ambacho wazungu wanaita Burn out. Kazi inakukinai na huitaki tena. Pamoja na hilo kuna shida kubwa ya Msongo wa mawazo.
Ewe ndugu yangu Siku yoyote utakayojihisi kuwa hauna thamani ya Kuishi na Ungetamani Kufa Jua kabisa kwamba Umefikia katika hatua Mbaya ya...
Yani hichi ulichoandika ni kama ume copy na ku paste juu ya dada mmoja , hivi ni vitu adimu kweli kweli..
Kuna wanawake walipendelewa katika hiyo angle, the bad thing is, she is extremely poor kwenye mambo mengine mengi .
Je, Unafahamu juu ya Tatizo la Kuvunjika Uume Kwa Kimombo Penile Fracture?
Tatizo hili lipo na Mara Nyingi linapotokea humuacha Muhusika katika sintofahamu na Asijue Cha Kufanya Kutokana na Mazingira Ambayo tatizo hilo hutokea.
Kwakawaida Penile Fracture ni dharura ya Kimatibabu na kwa Maelezo...
Hiyo ni Sexaul Incontinance. Huo ni mkojo pure. Kama unabisha ingia google kujisomea.
Incontinance ni kitendo cha Mkojo au haja kubwa kutoka bila control.
Ushauri wa bure,
Acha kufanya chochote unachofikiria kufanya kwa dogo, pambana na mwanamke wako, chochote utakachofanya juu yake ni uonevu mtupu. So, far sijaona kosa lake na wewe kwa kutumia mabavu umeshakwenda mbali na kumvunjia kioo cha gari lake.
Chochote utakachofanya cha kumuonea huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.