Hallo to you all great thinkers, hope cool. Vp kuna mtu an information za kuitwa usaili wa afisa ushirika daraja la pili? Zilikuwa post 45. My self cjaona kama utumishi wameita but kuna mtu mmoja kanipa info ambazo nahic co kwel eti zile post wanatuma tu barua za kuitwa kazini bila interview...
Habari wadau wa JF. Naulizia kama kuna mtu ana information zozote kama mashirika husika hapo kwenye title wameita watu kwa usaili maaana walitangaza kazi more than 2 months ago!! Au ndo tayari kimyakimya? Harakati njema wadau!
Habari wana JF. Naulizia kama COASCO na Wizara ya ushirika wameita watu interview? COASCO ilikuwa assistants auditors na wizara ilikuwa maafisa ushirika daraja la II. Msaada please!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.