Nina viwanja vilivyopimwa na serikali na kupatiwa hati miliki maeneo ya kimara temboni njia ya matosa
venye ukubwa mbali mbali bei kuanzia milioni 12
simu 0769 431889 au 0715 478 478
ukiitaji unapelekwa buree usafiri ni wetu
dalali akipata mteja atalipwa na mnunuzi tu
Duka lenu bado changa sana watanzania nawashauri muende pembeni yao pale kunaitwa universal computer na ndio msomali mkubwa hapa bongo kwa kuuza komputa anaitwa raam hata hao uhuru wanachukua kwa raaam
kuna kaale anaiuza rahisi sana kuna zakaria computa naye anauza rahisi...
waungwana ukiitizama hii hati ya ushindi aliyopewa ndugu yetu mbunge mteule wa arumeru mbona huu mwandiko ni kama wa mtoto wa chekechea au ndio mkono ulikuwa unatetemeka sana kwa kutojiamini na kila anachokiandika
pamoja na kwamba alikuwa na majibu ya dharau akiwa south afirika ulipopigiwa simu na mhe mbowe lakini tunashukuru umeuonesha umma kwamba unaweza hata kule kwenu kondoa nadhani utapabadilisha
kwanza huyu lusinde anapata wapi jeuri ya kuongea mambo machafu wakati tunamjua vizuri tangu akiwa kawe dsm pale akishinda kucheza bao tu leo anakuwa jeuri sio
Jamani kwa leo sisemi mie mana kina lusinde na kina nanii walikuja na kujisifu wamekuja kupambana arumeru sasa naona kimyaaa
mie nimepita tu kuwasalimu ndugu zangu watanzania
Ndugu zangu watanzania naombeni muwe wathubutu na sio wapiga porojo hizo ni bei halali kabisa kwa mtanzania anayeishi tanzania nadhani mwenye nie ya dhati na mwenye kuthubutu atafanya mawasiliano na mimi ya kibiashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.