We nani kakutuma kuhusu elimu ya huyu mheshimiwa, kama unataka kugombea nafasi hiyo jipange kwa 2015 ndiyo upambane kwa kumchambua vigezo vya maendeleo, Hakuna cha kujadili hapa.
Chadema good job........... Kwa jinsi hiyo chama kitaenea kila kona ya nchi, ndiyo kuleta upinzani wa dhati, kabla ya hapo chama hiki kilikuwa bado hakijaingia kwenye vichwa vya baadhi ya watz, ukisikia kwa kipindi kile cha uchaguzi ndiyo mwisho kabisa mpaka uchaguzi mwingine. Hamkuwa na ofisi...
Ni vizuri akaonywa kwa mara nyingine na aeleze lengo hasa ni nini? je ni chama gani makini unaweza kufanya vitu ambavyo ni nje ya katiba ya chama.................. ikiwa ni vipi avalishwe gamba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.