Haihitaji akili kubwa kupambanua hoja za akili ndogo. Hivi shughuli mbalimbali zilisimama Dar, Mbeya, Mwanza, Arusha na Zanzibar kwa sababu ya picha za kutengeneza kwenye computa?
Ndugu wanajamii; maneno albinism au albino ni maneno ya Kiingereza ambayo yanalazimishwa kuingingizwa katika Kiswahili wakati kuna maneno ya Kiswahili yanayojitosheleza. Mtu mwenye ulemavu wa ngozi kwa Kiswahili sanifu anaitwa 'zeruzeru' na 'albinism' ni 'uzeruzeru'. Iweje ubandue neno la...
Wanaojua kusoma alama za nyakati hawatajisumbua kumzuia Lowassa kwani ni kupoteza muda. Anafaa, anaweza na anahitajika sana kuwa raisi. Raisi siyo kuchekacheka, kupenda kusifiwa na kuteua washikaji kwenye sekta muhimu.
I don't hate foreigners but I hate the way they perceive and treat us. On the other hand I hate the government for respecting foreigners and fail to protect the citizens.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.