sio kuanza mapenzi ukubwani mzee, ila niile umesha choka sasa unataka wa masha ndo point yangu wengine ilikua poa tu tukitosana ila huyu niliona atakua wife material ndo maana ckua na hofu mwanzo mkuu nielewe hivo.
kabla sjarusha hii thread niliongea nae kwa simu kama kawaida nikamwambia nataka nje nikutembelee akajibu sawa karibu ntafurahi sana coz nimeku-miss and all that.
Mimi ni kijana mwenye umri wa 27 mnamo mwaka 2010 nilikutana na binti ambaye nilitokea kumpenda sana, ila kwake ilikua ngumu kunielewa lengo langu, siku zilivo zidi kwenda akawa ananielewa, 2011 akaniambia hayuko tayari kushea sex kwan alikua chuo mpaka malengo yake yatime, kwangu haikua ngum...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.